Maoni ya wa-Tanzania kuhusu sikukuu ya wakulima ya Nanenane na kauli-mbiu KILIMO KWANZA wadai ni kiini macho kwani hakuna mkakati wa kweli kupitia serikali kuu, serikali za mitaa kuleta mapinduzi kwa wakulima kupitia kilimo cha kisasa, pembejeo , mawasiliano na masoko.
Sikiliza malalamiko wa wananchi live pengine maoni yao yatasaidia serikali kuu kuhojiwa ktk kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma:
video kwa hisani ya ITV TANZANIA ya YOUTUBE.
Sikiliza malalamiko wa wananchi live pengine maoni yao yatasaidia serikali kuu kuhojiwa ktk kikao cha bunge kinachoendelea Dodoma:
video kwa hisani ya ITV TANZANIA ya YOUTUBE.
Last edited by a moderator: