Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wakuu leo asubuhi redioni nimesikia sikukuu ya Idd kitaifa kesho tarehe 26 itafanyikia mkoani Kilimanjaro na mgeni rasmi atakua ni Waziri mkuu Kassim Majaliwa, je sikukuu ya Christmas tarehe 25 December mwaka huu kimkoa itafanyikia Mkoa gani?
Nawatakia sikukuu njema ya Idd!
Nawatakia sikukuu njema ya Idd!