Ustaadhi sio mimi bwana mimi nimekushauri tu baada ya kuona ume-assume. Mtume alikataza hii habari ya ku-assume hata kama mazingira yanaonesha 99% kile udhaniacho ni kweli. Kwa mfano kuna moja ya vita wakati makuraishi wamewavamia waislamu (sikumbuki ni ipi) kuna kafiri mmoja wakiwa katikati ya mapambano akiwa ameshazidiwa na ikiwa wazi kabisa kuwa sasa anamalizwa akatamka shahada. Licha ya hivyo Omar(r.a) hakumuacha, akamuua na shahada yake, mtume akamuuliza kwa nini umemuua mtu aliyeamini? Omar akasema huyu katamka kwa kuogopa kufa tu haikutoka moyoni. Mtume akamwambia Omar, umefungua kifua chake ukaona yaliyomo? Utaona kuwa somo tunalopata kwenye hili ni kuto-assume. Jitahidi sana usi-assume no matter what. Labda kama angetukana moja kwa moja.
Ustaadhi sio mimi bwana mimi nimekushauri tu baada ya kuona ume-assume. Mtume alikataza hii habari ya ku-assume hata kama mazingira yanaonesha 99% kile udhaniacho ni kweli. Kwa mfano kuna moja ya vita wakati makuraishi wamewavamia waislamu (sikumbuki ni ipi) kuna kafiri mmoja wakiwa katikati ya mapambano akiwa ameshazidiwa na ikiwa wazi kabisa kuwa sasa anamalizwa akatamka shahada. Licha ya hivyo Omar(r.a) hakumuacha, akamuua na shahada yake, mtume akamuuliza kwa nini umemuua mtu aliyeamini? Omar akasema huyu katamka kwa kuogopa kufa tu haikutoka moyoni. Mtume akamwambia Omar, umefungua kifua chake ukaona yaliyomo? Utaona kuwa somo tunalopata kwenye hili ni kuto-assume. Jitahidi sana usi-assume no matter what. Labda kama angetukana moja kwa moja.
Allah(sw) hategemei mwezi. Sisi binadamu ndio tunategemea jua/mwezi kutengeneza kalenda na kupanga mambo yetu.Hivi lini Allah ataacha utegemezi wa Mwezi?
Sorry mate Allah hategemei mwezi he is the creator and operator of the moon. Allah anautumia mwez kutoa ishara ya kufunga na kufungua wakat wa mwez mtukufu wa Ramadhan.Hivi lini Allah ataacha utegemezi wa Mwezi?
Iddi ni Lini?
Jamani karatiba kanataka kuvurugika kama nitakosea kujua idd ln! je idd ni jumanne au jumatano?
Iddi ni Lini?
Sikuku za bahati nasibu,wengine kesho wengi keshokutwa ili mladi tu kubahatisha.
Mkuu ratiba tena? Any way Leo ni mwezi 30 Ramadhan
Mpaka waarabu waone mwezi
Kweli?Hivi unataarifa kwamba yesu harudi tena..... kudadeki kitu imetangazwa live bila chenga na wazee wa vatican, haleluyaheep:
Kuna jamaa kanambia et id imeahirishwa n kwel jamani? @ all
Kweli?
Sa itakuaje na wakati tunamsubiri?
Leo ni 29 please!!
Kweli?
Sa itakuaje na wakati tunamsubiri?