miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,969
ni jumanne so siku za kupumzika ni jamnne na jumatano
Hata kufunga hujafunga idd unautakia nini
Kuna id pili id tatu hadi id nne. yaani raha sana safari hii. miani jumanne so siku za kupumzika ni jamnne na jumatano
Haswaa!mkuu unamaanisha jumatatu ya tarehe 28?
Hata kufunga hujafunga idd unautakia nini
ustaadhi hii haikuwa muhimu kwenye hili.Muulize imamu wako kama kweli wewe ni muislam,,, sana sana wewe ni wale walevi wao mawazo yao ni ambiance tu... dini si yako idd ya nini?
Kuna jamaa kanambia et id imeahirishwa n kwel jamani? @ all
Kuna id pili id tatu hadi id nne. yaani raha sana safari hii. mia
mnanichanganya jamani mbona miss chagga.... kaja na siku nyingine?
ustaadhi hii haikuwa muhimu kwenye hili.
Ustaadhi sio mimi bwana mimi nimekushauri tu baada ya kuona ume-assume. Mtume alikataza hii habari ya ku-assume hata kama mazingira yanaonesha 99% kile udhaniacho ni kweli. Kwa mfano kuna moja ya vita wakati makuraishi wamewavamia waislamu (sikumbuki ni ipi) kuna kafiri mmoja wakiwa katikati ya mapambano akiwa ameshazidiwa na ikiwa wazi kabisa kuwa sasa anamalizwa akatamka shahada. Licha ya hivyo Omar(r.a) hakumuacha, akamuua na shahada yake, mtume akamuuliza kwa nini umemuua mtu aliyeamini? Omar akasema huyu katamka kwa kuogopa kufa tu haikutoka moyoni. Mtume akamwambia Omar, umefungua kifua chake ukaona yaliyomo? Utaona kuwa somo tunalopata kwenye hili ni kuto-assume. Jitahidi sana usi-assume no matter what. Labda kama angetukana moja kwa moja.samahani.. nilidhani una lengo la kunitukania Mola wangu kama kawaida humu JF