Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 735
Ni wiki sasa nalazimisha penzi kwa jirani yangu hapa ofisini lakini majibu nnayokutana nayo Ni hayo kila kukicha. Sikati tamaa.
'Sitoweza kuwa nawe kwa sababu umeoa, namuogopa Sana mume wa mtu'
Njia gani mbadala itumike hapa?
Asante
'Sitoweza kuwa nawe kwa sababu umeoa, namuogopa Sana mume wa mtu'
Njia gani mbadala itumike hapa?
Asante