Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
Majimbo ya uchaguzi yaliyofanya uchaguzi wa marudio j2 trh 14/11/2010 ni SABA.
Kati ya hayo saba CCM-3,CUF-3 na CHADEMA-1.
Gazeti la MWANANCHI leo, nanukuu "UPINZANI WAZOA MAJIMBO MANNE"
Mi sikubaliani na hili, hapa ni kwamba "UPINZANIA UMEZOA JIMBO MOJA" kwa kuwa Chama
Cha wananchi CUF, zanzibar ni chama Tawala (isitoshe majimbo iliyochukua CUF yoote ni kutoka Z'BAR), kwa kuwa nacho kinaunda serikali, so CUF sio wapinzania tena kwa nini wanatujumuisha na CUF?? Naomba waandishi waliangalie hili.
Kwenu wanajamii
Kati ya hayo saba CCM-3,CUF-3 na CHADEMA-1.
Gazeti la MWANANCHI leo, nanukuu "UPINZANI WAZOA MAJIMBO MANNE"
Mi sikubaliani na hili, hapa ni kwamba "UPINZANIA UMEZOA JIMBO MOJA" kwa kuwa Chama
Cha wananchi CUF, zanzibar ni chama Tawala (isitoshe majimbo iliyochukua CUF yoote ni kutoka Z'BAR), kwa kuwa nacho kinaunda serikali, so CUF sio wapinzania tena kwa nini wanatujumuisha na CUF?? Naomba waandishi waliangalie hili.
Kwenu wanajamii