seckymose
Member
- Dec 29, 2016
- 87
- 47
Kheri ya mwaka mpya wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu utumbuaji unaoendelea haswa huu wa karibuni ambao tumeshuhudia Bosi wa TANESCO Ndugu Felichesmi Mramba akitumbuliwa kwa kile kinachosemekana kupandisha bei ya umeme bila ridhaa ya waziri(mhongo---muongo).
Hivi hakuna njia ya kumrekebisha mtumishi wa umma isipokuwa kumtumbua tu? katika mmchakato wa kupandisha bei ya umeme kuna taasisi ngapi zinahusika? mbona hizo taasisi nyingine ambazo zimeratify swala hilo wameachwa tu?
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu utumbuaji unaoendelea haswa huu wa karibuni ambao tumeshuhudia Bosi wa TANESCO Ndugu Felichesmi Mramba akitumbuliwa kwa kile kinachosemekana kupandisha bei ya umeme bila ridhaa ya waziri(mhongo---muongo).
Hivi hakuna njia ya kumrekebisha mtumishi wa umma isipokuwa kumtumbua tu? katika mmchakato wa kupandisha bei ya umeme kuna taasisi ngapi zinahusika? mbona hizo taasisi nyingine ambazo zimeratify swala hilo wameachwa tu?