Sikubaliani na Tundu Lissu katika hili...

Ndugu zangu kuna baadhi ya mambo ambayo viongozi wetu wamekuwa wakiya fanya mazuri na mabaya pia


Lakini nipende kuwambia kumsifia kiongozi anapokosea ni kuua nchi yetu

Si lazima kila kitu tukubaliane nacho

Tundulisu amesikika akisema kuwa jumuiya ya kimataifa isitoe misaada kwa tanzania maana kutoa misaada hiyo ni kuunga mkono utawala wa kukandamiza demokrasia

Hizi kauli nadhani ni kauli ambazo zimetolewa kwa hasira ,kuna njia nyingine ambazo tunaweza kuonesha ni kwa namna gani utawala huu unakamdamiza demokrasia kama ni kweli

Lakini hii hatua ya kushawishi jumiyya ya kimataifa kusitisha misaada kwa nchi yetu ni kupinga kwa wazi hatua kwa ajiri ya maendeleo

Nchi yetu bado tunahuataji misaada kwa ajiri ya kukuza uchumi wetu na kukuza maendeleo kwa ujumla kama ilivyo kwa nchi zingine.Tena si kupewa misaada tu hata kukopa nako pia tunatakiwa tukope







Hata baada ya miaka 56 ya uhuru bado tunawaza kupewa misaada kama ni kitu cha muhimu kuliko kuimarisha demokrasia na utawala.wa sheria na katiba? Sisi ni watu wa namna gani sijui!
 
Kwa mfano tukinyimwa misaada...yeye ndio ataleta demokrasia?

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Iaiti ukijua vita huweza kusababisha kuharibika kwa miundombinu na vyanzo vya maji
wanaokaa Jangwani wasingepigana

Watanzania tunaishi katika janga la umasikini hatuhitaji kuanzisha vita vya kiuchumi

Tukisusiwa hapa kila mtu atapata shida kubwa na hata serikali haitaweza kumudu hali za wananchi.

Mshaulini (laisi) aache kupoteza nguvu nyingi kuwekeza kwenye vita dhidi ya uhuru wa maoni na mikutano ya upinzani maana hiyo wala siyo mahitaji ya watanzania.

Watanzania wanataka awaongoze kupigana vita vya uchumi wapate mikopo-wasome,
Wapate ajira waondokane na umasikini na kulipa kodi ili mapato yaongezeke

Changamoto kubwa inayomkabili mkuu ni kuwekeza nguvu kubwa kupigana na maoni ya watu ambayo kimsingi hayaongezi pato la nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iaiti ukijua vita huweza kusababisha kuharibika kwa miundombinu na vyanzo vya maji
wanaokaa Jangwani wasingepigana

Watanzania tunaishi katika janga la umasikini hatuhitaji kuanzisha vita vya kiuchumi

Tukisusiwa hapa kila mtu atapata shida kubwa na hata serikali haitaweza kumudu hali za wananchi.

Mshaulini (laisi) aache kupoteza nguvu nyingi kuwekeza kwenye vita dhidi ya uhuru wa maoni na mikutano ya upinzani maana hiyo wala siyo mahitaji ya watanzania.

Watanzania wanataka awaongoze kupigana vita vya uchumi wapate mikopo-wasome,
Wapate ajira waondokane na umasikini na kulipa kodi ili mapato yaongezeke

Changamoto kubwa inayomkabili mkuu ni kuwekeza nguvu kubwa kupigana na maoni ya watu ambayo kimsingi hayaongezi pato la nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Laisi = rais; mshaulini = mshaurini
rekebisha hapo kwanza otherwise tayari nishakushusha uwezo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom