Sikubaliani na suala la kufungwa biashara saa sita usiku

Ibrahim K. Chiki

JF-Expert Member
Apr 5, 2011
594
163
Nitasema kwelii.

Hii nimeona niilete hapa jamvini guys, binafsi sikubaliani na serikali na watendaji wake hasa hasa kwenye suala la jiji la DSM eti biashara ya bar mwisho saa sita usiku.

Hii si sawa. binafsi nimekaa Uganda maeneo ya Kabalagala, aiseee wale jamaa baana pamoja na mavita vita yao, machafuko yao yaaani hawako stable politically still wafanyabiashara sio tu wenyewe ma-bar ila wauza vyakula biashara hifabyika 24/7.

Kazi ya polisi ni kuporovide ulinzi ila kibongo bongo polisi nao kama wafanyakazi wa benki tu ikifika saa 12 jioni nao waenda lala. 😀😀

Mkuu wa mkoa wa DSM plz, liangalie hii kwa jicho la tatu.
 
Nilikuwa Dodoma maeneo ya Ilazo bar jamaa wakavamia pale hao majambazi wa uniformu wanaojiita polisi wanabeba watu hovyo. Tukawaambia kistaarabu tu kuwa hapa hakuna muhalifu
 
Naomba kuuliza, hayo ma-bar huko Uganda yanayofanya kazi 24hrs yapo kwenye makazi ya watu na yanapiga mziki mkubwa mpaka majirani hawalali, na wanafunzi hawajisomei usiku?
 
Naomba kuuliza, hayo ma-bar huko Uganda yanayofanya kazi 24hrs yapo kwenye makazi ya watu na yanapiga mziki mkubwa mpaka majirani hawalali, na wanafunzi hawajisomei usiku?
Swali lako halina uhusiano na hoja...

Hoja ni kuwa, Uganda biashara (ikiwemo ya baa) haina time limit bali hufanyika 24 hours and 7days a week...

Sasa hayo ya kupigiwa makelele sijui kitu gani inaweza kuwa mjadala mwingine kabisa. After all kelele ni mbaya muda wote tu si lazima iwe usiku tu...

La muhimu kwa sasa ni kuwa, ni kweli kabisa shughuli za watu katika mazingira yanayoruhusu zifanyike muda wote ya 24hrs, 7days a week, 365days a year na serikali kupitia jeshi la polisi wahakikishe usalama wa watu na Mali/biashara zao muda wote. Period...!
 
Swali lako halina uhusiano na hoja...

Hoja ni kuwa, Uganda biashara (ikiwemo ya baa) haina time limit bali hufanyika 24 hours and 7days a week...

Sasa hayo ya kupigiwa makelele sijui kitu gani inaweza kuwa mjadala mwingine kabisa. After all kelele ni mbaya muda wote tu si lazima iwe usiku tu...

La muhimu kwa sasa ni kuwa, ni kweli kabisa shughuli za watu katika mazingira yanayoruhusu zifanyike muda wote ya 24hrs, 7days a week, 365days a year...!
Labda ntakuwa nimeuliza kwa njia isiyo sahihi.

Lengo langu halikuwa kupinga bar za Tanzania zisikeshe, ila mimi nilikuwa nimechomekea tu, ili tujifunze kitu kwa majirani wenzetu, kwa sababu huku Tanzania kuna tatizo la bar kupiga mziki kwa sauti za juu usiku zikiwa katika makazi ya watu!

Sasa nauliza upya kwa lengo la kujifunza.
Je, huko Uganda utaratibu wa uanzishwaji wa bar upo vipi? Je, bar zinaanzishwa kwenye makazi ya watu kama huku TZ? Je, bar Uganda zinapiga mziki kwa sauti kubwa hadi usiku wa manane kama Tanzania?
 
Kampala hata saa 7 usiku unapata gari la kwenda mikoa mingine lkn kwa Dar sidhani
Kapricon kaomba route yakutoka Arusha saa nne usiku kwenda Dar kaambiwa ahakikishe saa sita usiku liwe limeshafika Dar! nadhani mishahara ya Tanzania huwa ina ndumba sio bure
 
Naomba kuuliza, hayo ma-bar huko Uganda yanayofanya kazi 24hrs yapo kwenye makazi ya watu na yanapiga mziki mkubwa mpaka majirani hawalali, na wanafunzi hawajisomei usiku?
kwanini muruhusu bar makazi ya watu? kwanza hizi zetu sio bar ni madanguro,
 
Swali lako halina uhusiano na hoja...

Hoja ni kuwa, Uganda biashara (ikiwemo ya baa) haina time limit bali hufanyika 24 hours and 7days a week...

Sasa hayo ya kupigiwa makelele sijui kitu gani inaweza kuwa mjadala mwingine kabisa. After all kelele ni mbaya muda wote tu si lazima iwe usiku tu...

La muhimu kwa sasa ni kuwa, ni kweli kabisa shughuli za watu katika mazingira yanayoruhusu zifanyike muda wote ya 24hrs, 7days a week, 365days a year na serikali kupitia jeshi la polisi wahakikishe usalama wa watu na Mali/biashara zao muda wote. Period...!
siku moja nilikuwa naenda mugumu kufika lamadi nikaamua kula chakula ilikuwa saa nne usiku mara tenga likafika mamantilie kaanza kufokewa yaani bado haujafunga tu, tukirudi tunaondoka na wewe yule mama alifunga milango haraka na wala hakudai pesa yake, mambo ya hovyo kabisa, yaani tunafunga biashara ili polisi walioko doria wakalale
 
Kuna muda unaweza kufikiri kuwa hii nchi inaendeshwa kama shule ya sekondari yaani. Kila kukicha tunapangiwa namna ya kufanya mambo as if sisi hatujui cha kufanya
 
Kapricon kaomba route yakutoka Arusha saa nne usiku kwenda Dar kaambiwa ahakikishe saa sita usiku liwe limeshafika Dar! nadhani mishahara ya Tanzania huwa ina ndumba sio bure
Nafikiri ukoloni bado unatusumbua vichwani mwetu
 
Labda ntakuwa nimeuliza kwa njia isiyo sahihi.

Lengo langu halikuwa kupinga bar za Tanzania zisikeshe, ila mimi nilikuwa nimechomekea tu, ili tujifunze kitu kwa majirani wenzetu, kwa sababu huku Tanzania kuna tatizo la bar kupiga mziki kwa sauti za juu usiku zikiwa katika makazi ya watu!

Sasa nauliza upya kwa lengo la kujifunza.
Je, huko Uganda utaratibu wa uanzishwaji wa bar upo vipi? Je, bar zinaanzishwa kwenye makazi ya watu kama huku TZ? Je, bar Uganda zinapiga mziki kwa sauti kubwa hadi usiku wa manane kama Tanzania?
Ok mkuu ngoja tusaidiane hapa tutani,madai ya sheria mpya ya nchi ni pamoja nchi kuwa na TAASISI imara zenye kujitegemea na impartial kwa sasa tuna TAASISI ya Rais ambayo ipo very powerful na tumeshaaminishwa kuwa bila ofisi ile hakuna kinachoweza fanyika kitu ambacho ni makosa,kisheria mtu anapoomba kibali cha kufungua Bar au bussiness yeyote ile pamoja na kutuma maombi yake serikalini ni LAZIMA majirani nao waridhie(hii ni very important na majirani wana tia sahihi zao)na pia kunapokua na kelele beyond 22:00unaruhusiwa kuwapigia simu police ambao watachukua hatua na hasa kumlazimisha sauti ipunguzwe au kuandikiwa fine,Nightclubs hizi ni 24hrs ila zikifika muda fulani ni LAZIMA ukelele wao upunguzwe ili usisumbue watu kama wewe mtoa wazo hili.mkuu tunahitaji sheria zitakazofanya kazi kwa masilahi yetu sio vinginevyo.
 
Swali lako halina uhusiano na hoja...

Hoja ni kuwa, Uganda biashara (ikiwemo ya baa) haina time limit bali hufanyika 24 hours and 7days a week...

Sasa hayo ya kupigiwa makelele sijui kitu gani inaweza kuwa mjadala mwingine kabisa. After all kelele ni mbaya muda wote tu si lazima iwe usiku tu...

La muhimu kwa sasa ni kuwa, ni kweli kabisa shughuli za watu katika mazingira yanayoruhusu zifanyike muda wote ya 24hrs, 7days a week, 365days a year na serikali kupitia jeshi la polisi wahakikishe usalama wa watu na Mali/biashara zao muda wote. Period...!
Kila jambo na wakati wake na mahali pake, ingependeza ya Ngoswe yabakie kuwa yake na yetu yaende kivyetu
Naomba kuuliza, hayo ma-bar huko Uganda yanayofanya kazi 24hrs yapo kwenye makazi ya watu na yanapiga mziki mkubwa mpaka majirani hawalali, na wanafunzi hawajisomei usiku?
 
Nilikuwa Dodoma maeneo ya Ilazo bar jamaa wakavamia pale hao majambazi wa uniformu wanaojiita polisi wanabeba watu hovyo. Tukawaambia kistaarabu tu kuwa hapa hakuna muhalifu
Wameona fursa kuingia bure bill yako ni baada ya kutoka
 
siku moja nilikuwa naenda mugumu kufika lamadi nikaamua kula chakula ilikuwa saa nne usiku mara tenga likafika mamantilie kaanza kufokewa yaani bado haujafunga tu, tukirudi tunaondoka na wewe yule mama alifunga milango haraka na wala hakudai pesa yake, mambo ya hovyo kabisa, yaani tunafunga biashara ili polisi walioko doria wakalale
Mkuuu..

Nje Ya Yote Kwa Hali Ilivyo sasa Ni Kama Mtaji Wa Yale Magari Ya Polisi Ya Usiku.. Maana Kila Bar Zinagonga Ngoma Afu wao wanadaka tuu 5,000 au 10,000 Imeisha Hiyo.

Afu Pia, Swala La Kelele Haliepukiki Kwenye Bae Yaaani Hata iweje.. Serikali Itafute Namna Ya Wenye Biashara Za Ma Bar Na Wananchi Kuishi Pamoja.

Maaana Ma Bar Bila Mziki Ni Uongo. Uwepo mfumo wa Kuwawezesha Wenye Ma Bar Na Wakazii Kuweza kua Na Mchakato.

Umkonto Mkuu. UG ni Kama Hapa Tuu Kwenye Mazingira Ya Watu Kabisaa ngoma zapigwa na Maisha Yaendelea. Na Mbaya zaidi Ug Hata Kama Unataka Ugali Nyama Saa 10 Usiku unapata. Na Jamaa Wana Shift Kabisaaa Huyu saa 12 asubuhi hadi 12 jioni mwengine anaingia 12 jioni hadi kucheee na Polisi wa Kutosha Barabarani usiku. Hapo Kabalagala Mjomba Ni Hatariii sana.
 
Nitasema kwelii.

Hii nimeona niilete hapa jamvini guys, binafsi sikubaliani na serikali na watendaji wake hasa hasa kwenye suala la jiji la DSM eti biashara ya bar mwisho saa sita usiku.

Hii si sawa. binafsi nimekaa Uganda maeneo ya Kabalagala, aiseee wale jamaa baana pamoja na mavita vita yao, machafuko yao yaaani hawako stable politically still wafanyabiashara sio tu wenyewe ma-bar ila wauza vyakula biashara hifabyika 24/7.

Kazi ya polisi ni kuporovide ulinzi ila kibongo bongo polisi nao kama wafanyakazi wa benki tu ikifika saa 12 jioni nao waenda lala. 😀😀

Mkuu wa mkoa wa DSM plz, liangalie hii kwa jicho la tatu.
Huku hao walinzi wenyewe ndiyo walevi wakubwa hata hawajui majukumu yao.
 
Ok mkuu ngoja tusaidiane hapa tutani,madai ya sheria mpya ya nchi ni pamoja nchi kuwa na TAASISI imara zenye kujitegemea na impartial kwa sasa tuna TAASISI ya Rais ambayo ipo very powerful na tumeshaaminishwa kuwa bila ofisi ile hakuna kinachoweza fanyika kitu ambacho ni makosa,kisheria mtu anapoomba kibali cha kufungua Bar au bussiness yeyote ile pamoja na kutuma maombi yake serikalini ni LAZIMA majirani nao waridhie(hii ni very important na majirani wana tia sahihi zao)na pia kunapokua na kelele beyond 22:00unaruhusiwa kuwapigia simu police ambao watachukua hatua na hasa kumlazimisha sauti ipunguzwe au kuandikiwa fine,Nightclubs hizi ni 24hrs ila zikifika muda fulani ni LAZIMA ukelele wao upunguzwe ili usisumbue watu kama wewe mtoa wazo hili.mkuu tunahitaji sheria zitakazofanya kazi kwa masilahi yetu sio vinginevyo.
hivi kwanini ulazimishe bar aka danguro makazi ya watu? cha ajabu hao wenye bar huwa hawaishi maeneo hayo, kuna fukwe nyingi tu siwaende huko nungwi, hivi ukiweka bar kisiwa cha saa nane kuna nyani atakuvamia? na umekuja huu mtindo wa Lounge mh nadhani mazalia ya korona yako huko sio mbanano huo,
 
Back
Top Bottom