Sikubaliani na pendekezo la Waziri wa Fedha kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa arudishwe kwenye mshahara wake wa awali

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.

Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.

Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
 
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo. Binafsi sikubliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu. Wahe. Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Kwa hiyo kama Katibu mkuu ameondolewa kwenye nafasi yake aendelee kulipwa mshahara wa ukatibu mkuu??
 
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo. Binafsi sikubliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu. Wahe. Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.

Mamlaka ya uteuzi iliyokuteua ikishasema hufai basi inatosha we pisha kiti.

Ulipoteuliwa ukapata salary mpya kwa sababu ya cheo kipya, unapotenguliwa ni sahihi urudi salary yako hakuna cha kuonewa mara kusingiziwa mbona kuteuliwa kwa upendeleo na mishemishe huzungumzii?
 
IMG_7494.jpg
 
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.

Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.

Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Waziri yupo Sahihi haiwezekani Mtu alikuwa
ana Cheo cha Chini akateuliwa kuwa DC na akawa anapata Mshahara ws DC baadae akatenguliwa na kurudi kwenye kazi yake ya Awali Aendelee na Mshahara wa DC huo ni UHUJUMU UCHUMI


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia hotuba ya Bajeti ya mwaka 2022/2023 na kwenye kipengele kinachosema kuwa kama mtumishi wadhifa wake umetenguliwa basi arudi kupokea ule mshahara aliokuwa anapokea kabla ya uteuzi. Hili ni pendekezo.

Binafsi sikubaliani kabisa na pendekezo hili. Mhe. Waziri usije ukaleta vurugu hapa nchini. Nchi hii tunapendana. Utakuta wengi wanaotumbuliwa ni uonevu.

Wabunge hili ni pendekezo mkatae kwa asilimia mia moja.
Vurugu kivipi mkuu hiyo ni sahihi kabisa.
 
Back
Top Bottom