Ni siku ya 3 Leo wafanyabiashara wa maduka makubwa na madogo jijini Mwanza Wako kwny mgomo na hawafungui maduka kabisa. Halo hii pia limewahi kutokea Mbeya na Dar. Binafsi sikubaliani nao kabisa kwa sababu
1) Kulipa kodi ni lazima ili maendeleo yapatikane, bila hizi machine TRA hawawezi kujua jumla ya mauzo yako ili ulipie ile asilimia inayotakiwa kisheria. Utaratibu wa zamani wa Ku estimate au kuangalia vitabu vya risiti mlikuwa mnajua jinsi ya kuiba na pia ulikuwa unatoa mianya ya rushwa
2) Kodi ni kubwa ndio, lkn mbona wenzenu wafanyakazi wanalipa tena kwa lazima kukatwa mishahara juu kwa juu? tena kubwa mno kuliko hata hii ya kwenu? Tatizo mlizoea ujanja ujanja huko nyuma.
3) Migomo yenu haijengi Bali inaumiza wananchi na nyinyi wenyewe. He huko Dar na Mbeya walivyogoma ilikuwa ndio suluhu?
4) Mnalalamika machine ni ghali, eti tsh 850,000/- kulinganisha na China $50. Hivi hebu tuseme ukweli jamani, machine km ile ya ya Electronics ununie kwa $50 itafanya kazi kwa muda gani?? Sehemu yenyewe ni China???? Cheap is expensive....
Hebu fungueni maduka na mlipe kodi, acheni kulalamika lalamika, na mjue kwamba duniani more watu wanalipa kodi tena kubwa sana tofauti tu ni kwamba wenzetu wanazitumia kodi hizo vizuri.
1) Kulipa kodi ni lazima ili maendeleo yapatikane, bila hizi machine TRA hawawezi kujua jumla ya mauzo yako ili ulipie ile asilimia inayotakiwa kisheria. Utaratibu wa zamani wa Ku estimate au kuangalia vitabu vya risiti mlikuwa mnajua jinsi ya kuiba na pia ulikuwa unatoa mianya ya rushwa
2) Kodi ni kubwa ndio, lkn mbona wenzenu wafanyakazi wanalipa tena kwa lazima kukatwa mishahara juu kwa juu? tena kubwa mno kuliko hata hii ya kwenu? Tatizo mlizoea ujanja ujanja huko nyuma.
3) Migomo yenu haijengi Bali inaumiza wananchi na nyinyi wenyewe. He huko Dar na Mbeya walivyogoma ilikuwa ndio suluhu?
4) Mnalalamika machine ni ghali, eti tsh 850,000/- kulinganisha na China $50. Hivi hebu tuseme ukweli jamani, machine km ile ya ya Electronics ununie kwa $50 itafanya kazi kwa muda gani?? Sehemu yenyewe ni China???? Cheap is expensive....
Hebu fungueni maduka na mlipe kodi, acheni kulalamika lalamika, na mjue kwamba duniani more watu wanalipa kodi tena kubwa sana tofauti tu ni kwamba wenzetu wanazitumia kodi hizo vizuri.