Ombeni Mbise
Member
- Nov 2, 2012
- 40
- 9
Nikiwa kama mtanzania ninayefikiri ninaamini kuwa hakuna aliyekamilika na wa kuaminiwa asilimia 100 zaidi ya Mungu peke yake. Mengi aliyosema mzee wetu mpendwa hayati baba wa taifa yanatufaa na yako relevant kwetu na hata kwa kizazi kijacho kisichomjua kitaendelea kunufaika na hotuba zake nzuri.
Lakini ninapingana asilimia 100 na kauli ya mwalimu pale aliposema ''Kiongozi bora hawezi toka nje ya CCM''. Kwa kweli hapo alisahau au alipitiwa kidogo jambo ambalo angerudi Duniani leo kwa hakika angekanusha kauli yake andapo angeona viongozi wa CCM na vyama vya upinzani ambapo tumejionea wabunge wadogo wenye uongozi makini na dhabiti ikilinanishwa na CCM aliyoiamini Baba wa Taifa.
Lakini ninapingana asilimia 100 na kauli ya mwalimu pale aliposema ''Kiongozi bora hawezi toka nje ya CCM''. Kwa kweli hapo alisahau au alipitiwa kidogo jambo ambalo angerudi Duniani leo kwa hakika angekanusha kauli yake andapo angeona viongozi wa CCM na vyama vya upinzani ambapo tumejionea wabunge wadogo wenye uongozi makini na dhabiti ikilinanishwa na CCM aliyoiamini Baba wa Taifa.