chikurukutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 224
- 88
Naamini viongozi wa CDM.. Ni watu makini, wenye upeo kusoma alama za nyakati na upepo wa kisiasa. .. Naunga mkono maamuzi magumu waliochukua. Poleni sana ccm, mlilia sana lowassa asihame kwa sababu mnajua ni mtu hatari kwenu kwa sababu anajua mbinu zenu zote hata zile za goli la mkono.. Mnahofia kuumbuka, mwaka huu hilo goli la mkono hakuna tena.. Yupo golikipa wa kudaka. Dead ccm..