bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Pole ndugu yangu! Leo umeonja joto la nguvu ya umma. Usirudie tena siku nyingine utaumia hapa! Shame on you!
Ha Ha Ha Ha.....mashambulizi aliyoyapata yanathibitisha kuwa watanzania tumeumizwa vya kutosha na tumekasirishwa sana na hili.