Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,021
Kumekua na Video inayozunguka katika Magroup ya Whatsapp na mitandao mbali mbali.
Video ikimuonesha binti anayetuhumiwa kwa wizi katika makanisa.
Viongozi/waumini wanaonekana katika video hii wakimpiga mtuhumiwa.
Jambo hili halikubaliki na niuvunjaji mkubwa wa sheria na haki za binadamu.
Kama hawa ndo viongozi wa dini, basi tuna safari ndefu kama taifa.
Natumaini kuwa sheria itachukua mkondo wake.
Video yenyewe hii hapa.
Video ikimuonesha binti anayetuhumiwa kwa wizi katika makanisa.
Viongozi/waumini wanaonekana katika video hii wakimpiga mtuhumiwa.
Jambo hili halikubaliki na niuvunjaji mkubwa wa sheria na haki za binadamu.
Kama hawa ndo viongozi wa dini, basi tuna safari ndefu kama taifa.
Natumaini kuwa sheria itachukua mkondo wake.
Video yenyewe hii hapa.