Sikubaliani hata kidogo na utovu wa nidhani wa Bernard Morrison, lakini kuna hoja za msingi ni lazima zijibiwe na TFF.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,326
92,507
3ANAANDIKA Mchao Tv

KWA MFANO TU

Mechi ya Azam dhidi ya Yanga ilipigwa Septemba 6, 2022 (zaidi ya wiki mbili zilizopita, ni siku 16 zilizopita) ambapo mchezaji wa Yanga Bernard Morrison alifanya utovu wa nidhamu kwa kumkanyaga Lusajo Mwaikenda wa Azam kwa makusudi.

Kwa mfano Bodi ya Ligi wangekaa na kamati yao ya saa 72 na kutoa maamuzi kungekuwa na ubaya gani???

Na kama maamuzi yangekuwa kama jinsi walivyoamua, maana yake Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Septemba 13, angeukosa pia mchezo dhidi ya Ihefu (ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 29 kabla ya kusogezwa mbele) na angeukosa pia mchezo dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 3.

Tuna-assume mchezo kati ya Yanga dhidi ya Ihefu ungeahirishwa kama ilivyo hivi sasa, maana yake ni kwamba Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar (Septemba 13), dhidi ya Ruvu (Oktoba 3) na adhabu yake angeimalizia kwa kuukosa mchezo dhidi ya Namungo ambao kwa mujibu wa ratiba utachezwa Oktoba 13... halafu kwenye Kariakoo Derby dhidi ya Simba (Oktoba 23) mtoto mtukutu angekuwa ndani ya nyumba.

Jana Bodi ya Ligi walitoa taarifa ya kuusogeza mbele mchezo kati ya Yanga na Ihefu (kutoka Septemba 29 hadi Novemba 29, yaan miezi miwili mbele) halafu leo Bodi ya Ligi hao hao wanatoa taarifa za kumfungia Morrison michezo mitatu kutoka sasa ambapo mchezo dhidi ya Simba unakuwa mmojawapo kwa kosa la siku 16 nyuma.

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakihoji uhalali wa adhabu ya BM33 kutoka leo Shirikisho la TFF na Bodi ya Ligi watajitetea kwa lipi??

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakiituhumu TFF kuwa inawahujumu, ni utetezi upi utakaotolewa na wenye mamlaka kupinga hoja hiyo??

KWA MFANO TU.....Yanga ikilalamika kuwa kuna bingwa anaandaliwa na Shirikisho la soka (TFF) kama jinsi Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu alivyowahi kulituhumu Shirikisho, ni nani atakayekuwa na mamlaka ya kuchukua hatua za kinidhamu juu ya kauli hiyo.

KWA MFANO TU......yaan ni mfano tu, ni mfano ambao........
 
3ANAANDIKA Mchao Tv

KWA MFANO TU

Mechi ya Azam dhidi ya Yanga ilipigwa Septemba 6, 2022 (zaidi ya wiki mbili zilizopita, ni siku 16 zilizopita) ambapo mchezaji wa Yanga Bernard Morrison alifanya utovu wa nidhamu kwa kumkanyaga Lusajo Mwaikenda wa Azam kwa makusudi.

Kwa mfano Bodi ya Ligi wangekaa na kamati yao ya saa 72 na kutoa maamuzi kungekuwa na ubaya gani???

Na kama maamuzi yangekuwa kama jinsi walivyoamua, maana yake Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Septemba 13, angeukosa pia mchezo dhidi ya Ihefu (ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 29 kabla ya kusogezwa mbele) na angeukosa pia mchezo dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 3.

Tuna-assume mchezo kati ya Yanga dhidi ya Ihefu ungeahirishwa kama ilivyo hivi sasa, maana yake ni kwamba Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar (Septemba 13), dhidi ya Ruvu (Oktoba 3) na adhabu yake angeimalizia kwa kuukosa mchezo dhidi ya Namungo ambao kwa mujibu wa ratiba utachezwa Oktoba 13... halafu kwenye Kariakoo Derby dhidi ya Simba (Oktoba 23) mtoto mtukutu angekuwa ndani ya nyumba.

Jana Bodi ya Ligi walitoa taarifa ya kuusogeza mbele mchezo kati ya Yanga na Ihefu (kutoka Septemba 29 hadi Novemba 29, yaan miezi miwili mbele) halafu leo Bodi ya Ligi hao hao wanatoa taarifa za kumfungia Morrison michezo mitatu kutoka sasa ambapo mchezo dhidi ya Simba unakuwa mmojawapo kwa kosa la siku 16 nyuma.

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakihoji uhalali wa adhabu ya BM33 kutoka leo Shirikisho la TFF na Bodi ya Ligi watajitetea kwa lipi??

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakiituhumu TFF kuwa inawahujumu, ni utetezi upi utakaotolewa na wenye mamlaka kupinga hoja hiyo??

KWA MFANO TU.....Yanga ikilalamika kuwa kuna bingwa anaandaliwa na Shirikisho la soka (TFF) kama jinsi Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu alivyowahi kulituhumu Shirikisho, ni nani atakayekuwa na mamlaka ya kuchukua hatua za kinidhamu juu ya kauli hiyo.

KWA MFANO TU......yaan ni mfano tu, ni mfano ambao........
Hukumu mwanzo mwisho Tifuatifua hao na Karai wao.
 
Wamemfungia asicheze mechi ya Simba hao ingeakua inafika mechi 4 wangefikisha 4...Inonga ile rafu aliyomfanyia Sure Boy amepata adhabu gani mbona rafu zipo nyingi sana na hatuonj wakikaa kujadili au wao wapo busy na BM tuu...
Jaribu kua mfuatiliaji mzuri wa sheria na kanuni,rafu ya inonga ilishaadhibiwa na muamuzi kwenye mechi husika, kitendo alichofanya Morrison ni kutendo ambacho si cha kiuanamichezo na muamuzi hakukiadhibu kwakua hakukiona hivyo kinapaswa kuadhibiwa kwenye kamati ya maadili.

Kama muamuzi angekiona na kutoa adhabu yake pale pale ya kadi yoyote ile Morrison asingeadhibiwa tena!!!
 
Jaribu kua mfuatiliaji mzuri wa sheria na kanuni,rafu ya inonga ilishaadhibiwa na muamuzi kwenye mechi husika, kitendo alichofanya Morrison ni kutendo ambacho si cha kiuanamichezo na muamuzi hakukiadhibu kwakua hakukiona hivyo kinapaswa kuadhibiwa kwenye kamati ya maadili.

Kama muamuzi angekiona na kutoa adhabu yake pale pale ya kadi yoyote ile Morrison asingeadhibiwa tena!!!
Hivi ile ya Pascal Wawa unakumbuka ni lini iliwahi kutolewa adhabu?
 
Jaribu kua mfuatiliaji mzuri wa sheria na kanuni,rafu ya inonga ilishaadhibiwa na muamuzi kwenye mechi husika, kitendo alichofanya Morrison ni kutendo ambacho si cha kiuanamichezo na muamuzi hakukiadhibu kwakua hakukiona hivyo kinapaswa kuadhibiwa kwenye kamati ya maadili.

Kama muamuzi angekiona na kutoa adhabu yake pale pale ya kadi yoyote ile Morrison asingeadhibiwa tena!!!
Kwa hiyo ile rafu kwa ile njano ilikua sahihi hao kamati wanafatilia zisizotolewa maamuzi mbona wenzetu tunaona hata VAR zao zinafuta red card nimeona mechi moja wiki zilizopita...
 
3ANAANDIKA Mchao Tv

KWA MFANO TU

Mechi ya Azam dhidi ya Yanga ilipigwa Septemba 6, 2022 (zaidi ya wiki mbili zilizopita, ni siku 16 zilizopita) ambapo mchezaji wa Yanga Bernard Morrison alifanya utovu wa nidhamu kwa kumkanyaga Lusajo Mwaikenda wa Azam kwa makusudi.

Kwa mfano Bodi ya Ligi wangekaa na kamati yao ya saa 72 na kutoa maamuzi kungekuwa na ubaya gani???

Na kama maamuzi yangekuwa kama jinsi walivyoamua, maana yake Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Septemba 13, angeukosa pia mchezo dhidi ya Ihefu (ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 29 kabla ya kusogezwa mbele) na angeukosa pia mchezo dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 3.

Tuna-assume mchezo kati ya Yanga dhidi ya Ihefu ungeahirishwa kama ilivyo hivi sasa, maana yake ni kwamba Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar (Septemba 13), dhidi ya Ruvu (Oktoba 3) na adhabu yake angeimalizia kwa kuukosa mchezo dhidi ya Namungo ambao kwa mujibu wa ratiba utachezwa Oktoba 13... halafu kwenye Kariakoo Derby dhidi ya Simba (Oktoba 23) mtoto mtukutu angekuwa ndani ya nyumba.

Jana Bodi ya Ligi walitoa taarifa ya kuusogeza mbele mchezo kati ya Yanga na Ihefu (kutoka Septemba 29 hadi Novemba 29, yaan miezi miwili mbele) halafu leo Bodi ya Ligi hao hao wanatoa taarifa za kumfungia Morrison michezo mitatu kutoka sasa ambapo mchezo dhidi ya Simba unakuwa mmojawapo kwa kosa la siku 16 nyuma.

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakihoji uhalali wa adhabu ya BM33 kutoka leo Shirikisho la TFF na Bodi ya Ligi watajitetea kwa lipi??

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakiituhumu TFF kuwa inawahujumu, ni utetezi upi utakaotolewa na wenye mamlaka kupinga hoja hiyo??

KWA MFANO TU.....Yanga ikilalamika kuwa kuna bingwa anaandaliwa na Shirikisho la soka (TFF) kama jinsi Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu alivyowahi kulituhumu Shirikisho, ni nani atakayekuwa na mamlaka ya kuchukua hatua za kinidhamu juu ya kauli hiyo.

KWA MFANO TU......yaan ni mfano tu, ni mfano ambao........
Kwa mfano yaani mfano tu usingeandika haya malalamiko hapa.
 
Huku ni kuendeshwa na ushabiki tu kwa kuwapangia mamlaka ya soka namna ya kufanya kazi.

Halafu si mlisema hakuna pengo kuna Kisinda, Moloko, Nkane, kwahivyo kilio na malalamiko ya nini hapa.
 
Wamemfungia asicheze mechi ya Simba hao ingeakua inafika mechi 4 wangefikisha 4...Inonga ile rafu aliyomfanyia Sure Boy amepata adhabu gani mbona rafu zipo nyingi sana na hatuonj wakikaa kujadili au wao wapo busy na BM tuu...
jaribuni basi kuficha ujinga hata kidogo, hiyo ya inonga ilikuwa ligi au mashindano gani???
 
3ANAANDIKA Mchao Tv

KWA MFANO TU

Mechi ya Azam dhidi ya Yanga ilipigwa Septemba 6, 2022 (zaidi ya wiki mbili zilizopita, ni siku 16 zilizopita) ambapo mchezaji wa Yanga Bernard Morrison alifanya utovu wa nidhamu kwa kumkanyaga Lusajo Mwaikenda wa Azam kwa makusudi.

Kwa mfano Bodi ya Ligi wangekaa na kamati yao ya saa 72 na kutoa maamuzi kungekuwa na ubaya gani???

Na kama maamuzi yangekuwa kama jinsi walivyoamua, maana yake Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar uliochezwa Septemba 13, angeukosa pia mchezo dhidi ya Ihefu (ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 29 kabla ya kusogezwa mbele) na angeukosa pia mchezo dhidi ya Ruvu Shooting ambao unatarajiwa kuchezwa Oktoba 3.

Tuna-assume mchezo kati ya Yanga dhidi ya Ihefu ungeahirishwa kama ilivyo hivi sasa, maana yake ni kwamba Morrison angeikosa michezo ya Yanga dhidi ya Mtibwa Sugar (Septemba 13), dhidi ya Ruvu (Oktoba 3) na adhabu yake angeimalizia kwa kuukosa mchezo dhidi ya Namungo ambao kwa mujibu wa ratiba utachezwa Oktoba 13... halafu kwenye Kariakoo Derby dhidi ya Simba (Oktoba 23) mtoto mtukutu angekuwa ndani ya nyumba.

Jana Bodi ya Ligi walitoa taarifa ya kuusogeza mbele mchezo kati ya Yanga na Ihefu (kutoka Septemba 29 hadi Novemba 29, yaan miezi miwili mbele) halafu leo Bodi ya Ligi hao hao wanatoa taarifa za kumfungia Morrison michezo mitatu kutoka sasa ambapo mchezo dhidi ya Simba unakuwa mmojawapo kwa kosa la siku 16 nyuma.

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakihoji uhalali wa adhabu ya BM33 kutoka leo Shirikisho la TFF na Bodi ya Ligi watajitetea kwa lipi??

KWA MFANO TU lakini.....Yanga wakiituhumu TFF kuwa inawahujumu, ni utetezi upi utakaotolewa na wenye mamlaka kupinga hoja hiyo??

KWA MFANO TU.....Yanga ikilalamika kuwa kuna bingwa anaandaliwa na Shirikisho la soka (TFF) kama jinsi Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu alivyowahi kulituhumu Shirikisho, ni nani atakayekuwa na mamlaka ya kuchukua hatua za kinidhamu juu ya kauli hiyo.

KWA MFANO TU......yaan ni mfano tu, ni mfano ambao........
kwa mfano hamuwezi kuandamana hapo utopoloni kwenda ikulu au FIFA kupeleka hilo povu lenu???
 
Jaribu kua mfuatiliaji mzuri wa sheria na kanuni,rafu ya inonga ilishaadhibiwa na muamuzi kwenye mechi husika, kitendo alichofanya Morrison ni kutendo ambacho si cha kiuanamichezo na muamuzi hakukiadhibu kwakua hakukiona hivyo kinapaswa kuadhibiwa kwenye kamati ya maadili.

Kama muamuzi angekiona na kutoa adhabu yake pale pale ya kadi yoyote ile Morrison asingeadhibiwa tena!!!
Hivi wewe unafatilia mpira kweli au unapiga brah brah?

Unakumbuka kule Kigoma mukoko tonombe alifanywa nini?,Mukoko alipewa red kadi na bado hiyo kamati ilimfungia,kama ndivyo kanuni inasema ya kwamba refa akishakupa kadi uwanjani kamati haitokufungia basi tuelezwe kwanini mukoko ingawa alipewa red card ambayo hakutakiwa kucheza mechi tatu kikanuni,kwanini tena kamati ilimfungia na akatakiwa kulipa na faini ya kiasi cha Tsh 500,000/=.

Tunapoyasema haya hatumaanishi kwamba Yanga wanapokosea wasiadhibiwe,bali tunaona kabisa kuna upendeleo,kwanini iwe wachezaji wa Yanga tu waadhibiwe?,Mtenje alipocheza rafu mbaya pale arusha alipewa Yellow card lakini hatukuona kamati ikimuadhibu,Inonga alipocheza rafu mbaya alipewa Yellow Card na hatukuona kamati ikimuadhibu,Lakini mukoko tonombe alipocheza vibaya pale kigoma alipewa red kadi na Adhabu ya kufungiwa mechi kadhaa.

Haya tunayasema kwa manufaa ya mpira,leo mashabiki na viongozi wa Yanga wanalalamika lakini yanamwisho,upepo utabadirika na ipo Siku Simba na viongozi wake wataanza kulia.

Hatuhitaji shirikisho liendeshwe kiupendeleo mpaka mashabiki wenyewe wa Simba wanashangaa namn Yanga wanavyoonewa.

Mchezaji anapocheza rafu aadhibiwe haijalishi ni mchezaji wa timu gani,lakini kusiwe na upendeleo wa kanuni,kwamba kanuni hizo ziwe zinawaminya Yanga tu huku timu nyingine zikiendelea kula kuku.
 
Wamemfungia asicheze mechi ya Simba hao ingeakua inafika mechi 4 wangefikisha 4...Inonga ile rafu aliyomfanyia Sure Boy amepata adhabu gani mbona rafu zipo nyingi sana na hatuonj wakikaa kujadili au wao wapo busy na BM tuu...
TFF ni Simba..!!! Na Simba wanamuogopa Morisson ndiyo maana wamechelewa kutoa maamuzi na wakaisogeza mbele mechi ya Yanga ilimradi tu mechi ya Simba na Yanga iwemo kwenye adhabu ya Morisson...!!
 
Back
Top Bottom