Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kilimo ni starting point tu ya kuelekea mafanikio eg kutafutia mtaji,but huwez kumantain utajir kwa kutegemea mazao ya shambani, hyo haipo, labda uadvance kwenda kwenye processing goods, na hapo ndo kuna mauza uza, msidanganye vijana wakati nyie mnatembelea ma vx ya ofisini maghorofani, wambieni waje pori huku waone ndo watambue ya kuwa kwa nn babu zao walikufa maskini
Point sana