Sikuamini nilivyofika Njombe, kumbe Tanzania hii kuna sehemu kama hizi?

Yaani bongo tuna mavitu adimu mengi sana ya kufanya, sema watu watakwambia hawana "exposure".
Hiv wewe unadhan mkulima mzungu aliyoko ulaya akija tz anaweza kuendeleza kilimo chake na akatajirika ? Serikali yako kama ni maskini na we mwananchi utakuwa masikin tuu!
 
Hiv wewe unadhan mkulima mzungu aliyoko ulaya akija tz anaweza kuendeleza kilimo chake na akatajirika ? Serikali yako kama ni maskini na we mwananchi utakuwa masikin tuu!

HABARI,
"sengobad,
Hayo maneno yako yana ukweli ndani yake ila si kwa ukubwa hivyo hapa tunazungumzia kilimo kuondoa umasikini,sio kuwa tajiri tunajua nchi za ulaya marekani na uchina kuna mambo ya ruzuku N.k.
Hapa kwetu leo umeshuhudia wakulima wa korosho wanavyo pata hela ila najua wanaofaidika sana ni wafanyabiashara ambao ni walanguzi na wanyonyaji wakubwa sana.Tukubaliane swala la umasikini kilimo kinaondoa ila kutajirika hiyo ni jitihada nyingine lazima uwe tajiri ili uzidi kuwa tajiri kwenye kilimo.

LUMUMBA
 
kutoa mzigo hapo mbea mpk Kilimanjaro unakutana na wakala wangap wa misitu huko barabarani na ni hela kiasi gani utawaachia

Kwani kwa akili yako anatoka Kilimanjaro kwenda Njombe kulima kwa ajili ya njaa ya tumbo? Kwani ni lazima mazao ayasafirishe hadi Moshi? Kama ni mbao mbona soko la Mbao ni kumbwa zaidi Dar na kwingineko, kwa nini aende Moshi tena. Let us think outside the box na tusiwe waoga sana.
 
HABARI,
Kamanda nina Ndugu yangu anataka kuja huko ana MIL.3.5 Zao gani la biashara litamfaa kuanzia aweze kurudisha pesa yake na Kuendelea na kilimo.

LUMUMBA
Kule dili kubwa kwa sasa ni kulima parachich,zinaenda ulaya kwa bei tamu.Na zinauzwa sana kwakua kipindi dunian kote,parachich znakuwa adimu,njombe ndo znakomaa.So ulaya na kwingneko wanahamia njombe
 
Kule dili kubwa kwa sasa ni kulima parachich,zinaenda ulaya kwa bei tamu.Na zinauzwa sana kwakua kipindi dunian kote,parachich znakuwa adimu,njombe ndo znakomaa.So ulaya na kwingneko wanahamia njombe

HABARI,
"pemgtoonet.com,
Asante zinachukua muda gani kupanda mpaka kuanza kuvuna na heka moja ni sh.ngapi.

LUMUMBA
 
Ukitaka kulima avocador zinachukua mda gani?

HABaRI,
"witnessj,
Miaka mitatu unaanza kuvuna muda unavyozidi kwenda na mavuno yanaongezeka ni miche ya kubebeshwa ya muda mfupi,Hiyo ni fursa kama uko vizuri wahi,Soko lake wamesema Kuna watu wanazifata shambani zinakwenda Ulaya na america kwani kipindi cha msimu huko sehemu nyingine Duniani zinazozalisha Avocador msimu unakuwa umukwisha au bado.
Mashamba eka moja kununua ni kuanzia laki 1-2,Nilimuliza mtaalamu mmoja toka SUA (chuo cha kilimo cha sokoine-morogoro)Akaniambia kwa heka moja unaweza kupanda mpaka miti 100.

LUMUMBA
 
74 Reactions
Reply
Back
Top Bottom