mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
Kwani ukilima Mbeya lazima usafurishe mzigo kwenda Kilimanjaro?
Kwani ukilima Mbeya lazima usafurishe mzigo kwenda Kilimanjaro?
sio lazima hio nimetolea mfano maana mwanzisha mada ni mzawa wa huko ila ata Ndani ya mkoa kuvuka wilaya lazima ukute kibao CHA SIMAMA UKAGULIWE, WAKALA WA MISITUKwani ukilima Mbeya lazima usafurishe mzigo kwenda Kilimanjaro?
Wakinga wote wapo mjini kulikoni hawajengi kwao kabila la uongooo hiloHahaas mkuu umenchekesha sana,ati wilaya ya kikuda..
Inadaiwa kwamba wao ndiyo walikuwa wanaratibu hiyo michezo kwa ajili ya kuwaandalia maeneo hao wawekezaji.Challenge hiyo hasa KUCHOMEWA MAENEO ya hizo TAASISI waisemeaje kiongozi
Sema tu hakuna miundombinu mizuri sanaa, inabidi uwe na gari binafsi kufika huko ndani kwa urahisi..Ni eneo zuri sana mkuu! Kuna ardhi safi sana wilaya ya kilolo
Ukanda huo umebarikiwa sana, ujue kuna sehemu zina Ardhi nzr kiasi kwamba zikitumika vzr lazma mafanikio yawepo, unaaenda sehem kipindi kama hiki cha kiangazi unakuta mimea yote ya Kijani but wazawa ni masikiniMkuu Njombe cha mtoto sana mimi nafanya kilimo sehemu moja inaitwa Kidabaga iko Iringa huko. Ni balaa sana na hali ya hewa ni kama Ulaya, zamani Mahindi walikuwa hawapandii mbolea.
Sema tunapana vikumbo na makampuni makubwa kama New Forest na wale wa One Acre Fund. Wanamiliki maeneo makubwa sana na Raisi Kikwete aliwapa tu; Inafika kipindi wananyanyasa wazawa na kuchoma mashamba yao ya miti kwa maksudi pindi ukikataa kuwauzia.
Nawashauri vijana watembee na kuwekeza huko. It is a nice place to invest: jaribu kwenda kufanya utafiti mkuu
NB: Kuna vibarua wengi sana wa bei nafuu na Wahehe wengi ni watu waaminifu sana endapo utawapa stahiki zao kwa wakati.
Nenda mkuu , najua hutarudi iv iv unaweza kufanya kitu kwa ajili ya watoto wakoKwa kweli umenishawishi niangalie kwa ukaribu yaani ni neema tupu
Ila acha niweke na tupicha maana watu tunapenda uhalisia zaidi kuliko maandishi pekee
Na shingopana waliishi huko miaka mingi iliyopita
Yaani huko umenishawishi niende likizo
Napenda sana sehemu kama hizo, ingawa niko mbali sana na nyumbani lakini naomba Mungu retirement yangu iwe sehemu nzuri kama hiyoNenda mkuu , najua hutarudi iv iv unaweza kufanya kitu kwa ajili ya watoto wako
Asante, mbali mbinguni, uwekezaji ni popote , tamani siku moja watoto wako waje waseme baba/mama aliona mbali sana haaa haaa you must have your children brain for bow for themnimekumiss Lasway.Jr !yeah huko njombe nchi ya asali nami nimefika jaman ni kuzuri maparachichi na mazaga zaga kibao yanastawi vizuri mnooooo ! safi sana kwa kazi yako aisee !sema mbali duh
Asante , pia Unaweza kuangalia , www.greenagricultureskills.comLasway.Jr ni kweli kabisa, njombe ni eneo limebarikiwa sana kwa ardhi nzuri na hali ya hewa, nilikuwepo hapo september kuangalia uwezekano wa kuwaunganisha wakulima wa viazi shirika langu la Agriterra unaweza kuangalia (agriterra.org) tukishirikiana na SAGCOT
Poa sana....Asante , pia Unaweza kuangalia , www.greenagricultureskills.com
Uone kazi zetu
Ilinikera siku moja nikiwa kwa hao ndugu zetu, kijana mmoja akaniuliza "kwa nini Tanzania ni miongoni mwa nchi masikini sana duniani wakati mna raslimali nyingi" nilikereka sana! Nikamwambia kuwa Madini ya Tanzanite kwa mfano huwa yanapatikana Tanzania tu! Nikafungua site hii: http://allafrica.com/stories/201405120444.html na hii Tanzanite Gemstone in Jaipur, Rajasthan | tanzanite stone Suppliers, Dealers & Retailers in Jaipur hakunighasi tenaJuzi Rais alisema, kuzaliwa Tanzania ni fursa. Watu wakaanza kumponda
Mkuu lupembe nmetoka juzi tu kijiji kinaitwa mfiriga so mchezo ardhi kule ina rutuba so mchezo mi nlienda kutafuta mashamba ya kupanda miti ya mbaoKatika mizunguko yangu ya kazi nilitoka Morogoro nikaenda Mbeya kufanya shughuli zangu za kilimo hasa umwagiliaji, basi nikiwa Mbeya pale kwa kuwa mimi ni mdadisi nitampigia jamaa yangu mmoja ambae ni mwenyeji wa Mbeya pia ni Mkulima, duh jamaa mcheshi sana na ni mshikaji sana japokuwa ni msomi mkubwa na mfanyabiashara
Basi akanambia njoo huku Njombe,jioni ile nikapanda gari kuelekea huko, nilipofika nikakutana na jamaa ang mmoja niliesoma nae chuo akanipokea na akawa mwenyeji wangu.
Nilipompigia jamaa angu huyu Mkulima akanambia bado hajafika mjini ndio anatoka shamba, kumbuka hapo ni saa nne usiku.
Kesho yapo ikawa asubh , baridi ilikuwa kiasi japokuwa mwenyeji wangu alinambia ni wakati wa joto kwa sasa haaa haaaa Njombe kama ulaya vile
Kama saa moja hivi jamaa angu alikuja akanichukua , tukampitia na mshikaji wake mmoja , na safari ikaanza ya kuelekea nisikokujua kwenye nchi ya maziwa na Asali kama Mwendo wa 80km tukaanza kukwepana na milima ya Lupembe na baada ya muda mshikaji wangu akanambia hapa ndio tunaingia shamba, kwa kuwa lilikuwa shamba jipya lenye milima na milima , na lilikuwa Shamba kubwa kiasi , haaa haaa sio kubwa kama unavyofikiria ww ila ni zaidi ya hekari 400+ Virgin land , hapo hapo nikaanza udadisi wangu na kuanza kukumbuka nilivyokuwa nafundishwa na Maprofesa wangu enzi hizo nasoma pale SUA ,
Nilichoshangaa ni nn?
Katika udadisi wangu niligundua kuwa ile Ardhi haikuwahi kulimwa , mimea iliyoota maeneo Yale iliashiria rutuba ya ajabu iliyoko katika udongo ule , hali ya hewa na baadhi ya vitu vilionyesha kuwa eneo lile linapata mvua kubwa sana kwa mwaka tatribani 2300mm per yr
Organic matter layer ya Ardhi ile ni zaidi 40cm,
Nilichoshangaa zaidi ni pale nilipoenda ndani ya Shamba zaidi na kuona kuwa kuna chanzo kizuri cha maji , nilitamani niende kwetu Rombo niwachukue wale wazee niwalete pale kwa sababu kule sijawahi kuona kitu kama kile .
Bhasi nikaendelea na utafiti wangu nikagundua vitu vingi zaidi katika Ardhi ile na baada ya kukaa na kuangalia milima ikishangaa ujio wetu na muda ulikuwa umeenda , tukafanya baadhi ya kazi pale na kuanza kurudi
Ninachotaka kusema ni kwamba
Don't limit your mind to think
Seed and not diamond will make Africa great
Wekeza vzr kwenye kilimo
Uzi utakao fuata nitawaeleza katika hyo Ardhi ni nini kimepandwa na kinawezaje kumlipa Mkulima tena bila stress , najua utafikiri ni miti ya mbao lakini sio kweli ....stay tuned
Jumapili njema wana jamvi