Nduguzanguni Kuna manzi mmoja nilikuwa nampenda Sana tatizo ni moja ni mgumu Sana kwa story ninazozipata mtaani asilimia kubwa ya wanaume waliomtongaza demu amewakataa lakini pia hata kupata number yake tu ni shida.
Kuna jamaa mmoja anaitwa hamisi ila tulimtunga jina mkongwe jamaa ana mademu wengi Sana mfano sasa hiv ana mademu 7 wapo maeneo tofautofauti na kujumla ametembea na mademu si chini ya 45 na ana miaka 24.
Nikaja kusikia pia jamaa yetu hamisi amekataliwa na huyo dada ambaye me ninayempenda. Hapa ndio nikaona possibility ya kumpata huyo demu ni ngumu Kama hamisi mwenyewe kakataliwa me nitawezaje? Nikajiuliza me mwenyewe.
Kitu kizuri ni kwamba dada yangu ana urafiki na huyo demu so nikajifikiria sijui nimtumie dada yangu kumpata huyo manzi?ila nikasema hapana nisimtumie dada yangu nitapambana mwenyewe.
Siku moja wakati ninaenda dukani nikaonana na huyo demu ameshika unga wa ugali muda si mfupi akajikwaa na kuangusha unga huo wa ugali me nikamfata nikamuuliza huo unga ni kiasi gani akasema kilo mbili na nusu cos nilikuwa Nina hela nikaamua nimnunulie
Na nikampa akataa nikamwambia we pokea tu binadamu ni kusaidiana leo ipo kwako kesho ikawa kwangu hiyo siku ikapita.
Jana nikasema nimtongonze moja Kati ya Jambo silipendi ni kakataliwa ingawa ijawahi kunitokea nikasema potelea mbali leo ni leo ni kamuomba sehemu tukutane na kwel nikamtongoza na siku hiyo hiyo demu akanikubalia yaani sikuaminu kiukweli kwa namna ya mtazamo wangu niliyouweka kwa huyu dada na maneno ya kitaa kuwa huyu demu ni mgumu na magwiji wa kutongoza wameshindwa ila me siku moja nimeweza.
Ndo hivo nduguzanguni nishaopoa chombo Jana.
Kuna jamaa mmoja anaitwa hamisi ila tulimtunga jina mkongwe jamaa ana mademu wengi Sana mfano sasa hiv ana mademu 7 wapo maeneo tofautofauti na kujumla ametembea na mademu si chini ya 45 na ana miaka 24.
Nikaja kusikia pia jamaa yetu hamisi amekataliwa na huyo dada ambaye me ninayempenda. Hapa ndio nikaona possibility ya kumpata huyo demu ni ngumu Kama hamisi mwenyewe kakataliwa me nitawezaje? Nikajiuliza me mwenyewe.
Kitu kizuri ni kwamba dada yangu ana urafiki na huyo demu so nikajifikiria sijui nimtumie dada yangu kumpata huyo manzi?ila nikasema hapana nisimtumie dada yangu nitapambana mwenyewe.
Siku moja wakati ninaenda dukani nikaonana na huyo demu ameshika unga wa ugali muda si mfupi akajikwaa na kuangusha unga huo wa ugali me nikamfata nikamuuliza huo unga ni kiasi gani akasema kilo mbili na nusu cos nilikuwa Nina hela nikaamua nimnunulie
Na nikampa akataa nikamwambia we pokea tu binadamu ni kusaidiana leo ipo kwako kesho ikawa kwangu hiyo siku ikapita.
Jana nikasema nimtongonze moja Kati ya Jambo silipendi ni kakataliwa ingawa ijawahi kunitokea nikasema potelea mbali leo ni leo ni kamuomba sehemu tukutane na kwel nikamtongoza na siku hiyo hiyo demu akanikubalia yaani sikuaminu kiukweli kwa namna ya mtazamo wangu niliyouweka kwa huyu dada na maneno ya kitaa kuwa huyu demu ni mgumu na magwiji wa kutongoza wameshindwa ila me siku moja nimeweza.
Ndo hivo nduguzanguni nishaopoa chombo Jana.