DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,434
Poleni na harakati za kampeni na uchaguzi, niende moja kwa moja kwenye mada.
Nakumbuka wakati nasoma elimu ya sekondari katika shule moja mkoani njombe wilaya ya wanging'ombe shule yetu ilivamiwa na mapepo ambayo yalikua yakiwaangusha watu na kuanza kuropoka mambo mengi yaliyojificha kuhusu shule na ata familia za wale wanaodondoka.
Mfano: yalikua yakisema, tupo 60 ndani ya huyu mtu, na tumetumwa kuhakikisha hasomi na anateseka maisha yake yote
Mengine yalikua yakiropoka kuhusu shule, kwamba ili shule ifaulishe kulikua na kafara zilikua zikitolewa lakini ni muda hazijatolewa hivyo darasa letu tuniandae kufeli wote.
Mara yaseme chini ya mti wa kivuli uliokuepo pale shuleni ndio makao makuu ya kuzimu na mikutano yote ya walozi ilikua ikifanyika hapo.
Sasa picha linaanzia hapa..... kuna jamaa mmoja yeye likifika suala la kudondoka ilikua ni lazima adondoke na anakua mwanaume peke yake na wasichana wanakua wa kutosha.
Kila siku maombi yakianza lazima adondoke na ajabu alikua hakosi church kabisa, ilibidi timu ya maombi wamfuate na kumhoji kiundani ndipo aliporopoka mambo mengi kwamba alikua akilzimishwa kupokea uchawi na mama yake ilhali alikua hahitaji na aliwaomba timu ya maombi waende hadi kwao.
Ishu ilikua nzito hadi mkuu wa shule pamoja na uongozi wa kijiji pamoja na mashahidi kadhaa tulienda na hapo ndipo nilifanikiwa kuona ungo wa kichawi, na vikorombwezo vingine kama hirizi.
Uchawi upoo wandugu, sasa vile vitu vilikua vinawaka moto lakini haviteketei usiku kucha
Nakumbuka wakati nasoma elimu ya sekondari katika shule moja mkoani njombe wilaya ya wanging'ombe shule yetu ilivamiwa na mapepo ambayo yalikua yakiwaangusha watu na kuanza kuropoka mambo mengi yaliyojificha kuhusu shule na ata familia za wale wanaodondoka.
Mfano: yalikua yakisema, tupo 60 ndani ya huyu mtu, na tumetumwa kuhakikisha hasomi na anateseka maisha yake yote
Mengine yalikua yakiropoka kuhusu shule, kwamba ili shule ifaulishe kulikua na kafara zilikua zikitolewa lakini ni muda hazijatolewa hivyo darasa letu tuniandae kufeli wote.
Mara yaseme chini ya mti wa kivuli uliokuepo pale shuleni ndio makao makuu ya kuzimu na mikutano yote ya walozi ilikua ikifanyika hapo.
Sasa picha linaanzia hapa..... kuna jamaa mmoja yeye likifika suala la kudondoka ilikua ni lazima adondoke na anakua mwanaume peke yake na wasichana wanakua wa kutosha.
Kila siku maombi yakianza lazima adondoke na ajabu alikua hakosi church kabisa, ilibidi timu ya maombi wamfuate na kumhoji kiundani ndipo aliporopoka mambo mengi kwamba alikua akilzimishwa kupokea uchawi na mama yake ilhali alikua hahitaji na aliwaomba timu ya maombi waende hadi kwao.
Ishu ilikua nzito hadi mkuu wa shule pamoja na uongozi wa kijiji pamoja na mashahidi kadhaa tulienda na hapo ndipo nilifanikiwa kuona ungo wa kichawi, na vikorombwezo vingine kama hirizi.
Uchawi upoo wandugu, sasa vile vitu vilikua vinawaka moto lakini haviteketei usiku kucha