Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Siku zote tunasema Ccm kuna unafiki na ndiyo wahujumu uchumi no.1 hapa nchini.
CAG alitoa taarifa kuwa kuna ubadhirifu kwenye wizara ya mambo ya NDANI mkamkejeli,akasema Bunge ni dhaifu mkamkejeli.
Kangi akamwita muongo mkamshangilia BUNGENI,haya yako wapi Leo.
Mkamuundia zengwe mkamtimua ofisini,.*ilituuma sana*
Haya* Nani muongo*?
CAG alitoa taarifa kuwa kuna ubadhirifu kwenye wizara ya mambo ya NDANI mkamkejeli,akasema Bunge ni dhaifu mkamkejeli.
Kangi akamwita muongo mkamshangilia BUNGENI,haya yako wapi Leo.
Mkamuundia zengwe mkamtimua ofisini,.*ilituuma sana*
Haya* Nani muongo*?