KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Sasa unafiki hapo ni upi?Na hapa walikuwa hawajachanjwa? Unafiki umepata autakaye! Hapa nj jana yake tu! Picha rasmi mbele ya kamera!! Walipofika beach wakiwa na waalikwa wengine sura halisi ikajitokeza!!
View attachment 1818607
Kwa wao kujua kwamba wana kinga ya chanjo inayoongeza kinga mbali ya huko 'social distancing' na kuvaa barakoa?