Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Nimetoka kumwangalia Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi kwenye ITV Mheshimiwa Patrick Rutabanzibwa akijitetea kutokana na tuhuma nyingi zinazomkabili wizarani hapo.........................................
Amejitetea ya kuwa wanaomtuhumu yeye ni wale ambao yeye mwenyewe amewaripoti kwa DCI kutokana na tuhuma za uporaji wa viwanja vya mashirika ya umma na kuviuza kwa watu hewa ambao nao huviuza kwa wawekezaji binafsi.......................au wafanyabiashara wakubwa wakubwa..............................
Nionavyo mimi, Rutabanzibwa amekuwa akitajwa kwenye tuhuma nyingi tangia alipokuwa Wizara ya Nishati hususani tuhuma za kujadiliana na IPTL kutokana na mkataba feki wa kuliuzia taifa umeme kwa bei mbaya...................majadiliano hayo yaliyofanyika London uingereza yaliliacha taifa bila ya nafuu ya kujitosheleza...........................
Alipokuwa Wizara ya Maji pia tuhuma za miradi isiyo endelevu kama ule wa kuhamisha maji ya ziwa victoria pia ulimwandama...........ni mradi ghali sana usiobebeka hata chembe na hauna matunda ya kuhudumia wanavijiji wengi walengwa...................
Sasa hizi tuhuma zinazomkabili za uuzaji wa viwanja vya mashirika ya umma kitapelitapeli haziwezi kumwacha hivi hivi tu.............................His game is up...................na mwana wa Kaisari hatuhumiwi..............
Amejitetea ya kuwa wanaomtuhumu yeye ni wale ambao yeye mwenyewe amewaripoti kwa DCI kutokana na tuhuma za uporaji wa viwanja vya mashirika ya umma na kuviuza kwa watu hewa ambao nao huviuza kwa wawekezaji binafsi.......................au wafanyabiashara wakubwa wakubwa..............................
Nionavyo mimi, Rutabanzibwa amekuwa akitajwa kwenye tuhuma nyingi tangia alipokuwa Wizara ya Nishati hususani tuhuma za kujadiliana na IPTL kutokana na mkataba feki wa kuliuzia taifa umeme kwa bei mbaya...................majadiliano hayo yaliyofanyika London uingereza yaliliacha taifa bila ya nafuu ya kujitosheleza...........................
Alipokuwa Wizara ya Maji pia tuhuma za miradi isiyo endelevu kama ule wa kuhamisha maji ya ziwa victoria pia ulimwandama...........ni mradi ghali sana usiobebeka hata chembe na hauna matunda ya kuhudumia wanavijiji wengi walengwa...................
Sasa hizi tuhuma zinazomkabili za uuzaji wa viwanja vya mashirika ya umma kitapelitapeli haziwezi kumwacha hivi hivi tu.............................His game is up...................na mwana wa Kaisari hatuhumiwi..............