bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini toka mkakati wa kujivua gamba umeanza, ninachokiona watu wanaogopana, wakati mwenyekiti anafunga kikao mjini Dodoma aliwaambia wajumbe tumekubaliana wote na mnayajua tuliyokubaliana yepi?
Kuvuana magamba,baada ya hapo comedy ikaanza kwa Nape ambaye alikuwa anahamu kubwa ya kubwatuka akaanza,kutoa notice kwa mapacha watatu,Katibu siku chache akakanusha hakukuwa na maazimio ya siku 90.
Lakini mwenyekiti ameshakutana Lowasa na akachimbwa bit, akanywea.
My Note.
Je nape atakuwa salama Lowasa akimgeukia?
Je anajua mwenyekiti aliingizwa ikulu kwa rafu za Lowasa Zidi ya wagombea wengine wa CCM km Sumaye,Mwandosya,Salim na John Malechela?
Anajua katika vita hii Kikwete wala Mukama hawapo vitani naye?
Anajua kuwa Jk pia ni mmoja wa watuuhumiwa wa ufisadi?
Anakumbukwa alivyokoswakoswa kuvuliwa UVCCM na mtandao wa Lowasa?
Je nafasi aliyopewa amepewa ili alipe kisasi na Jk? Lkn Je ANAAMUUNGA MKONO KATIKA HILO?
Anajua kuwa JK HANA MSIMAMO WA KIMAAMUZI?
Kuvuana magamba,baada ya hapo comedy ikaanza kwa Nape ambaye alikuwa anahamu kubwa ya kubwatuka akaanza,kutoa notice kwa mapacha watatu,Katibu siku chache akakanusha hakukuwa na maazimio ya siku 90.
Lakini mwenyekiti ameshakutana Lowasa na akachimbwa bit, akanywea.
My Note.
Je nape atakuwa salama Lowasa akimgeukia?
Je anajua mwenyekiti aliingizwa ikulu kwa rafu za Lowasa Zidi ya wagombea wengine wa CCM km Sumaye,Mwandosya,Salim na John Malechela?
Anajua katika vita hii Kikwete wala Mukama hawapo vitani naye?
Anajua kuwa Jk pia ni mmoja wa watuuhumiwa wa ufisadi?
Anakumbukwa alivyokoswakoswa kuvuliwa UVCCM na mtandao wa Lowasa?
Je nafasi aliyopewa amepewa ili alipe kisasi na Jk? Lkn Je ANAAMUUNGA MKONO KATIKA HILO?
Anajua kuwa JK HANA MSIMAMO WA KIMAAMUZI?