Siku za mwanadamu kuishi hazijapangwa na Mungu, bali utakufa kutokana na kazi na mazingira yako.

its true chief, hatma ya kuishi hapa duniani ipo mikononi mwa mwanadamu mwenyewe, hata kama ukitaka kufa leo utakufa tu tukuzike....
 
its true chief, hatma ya kuishi hapa duniani ipo mikononi mwa mwanadamu mwenyewe, hata kama ukitaka kufa leo utakufa tu na tukuzike....
Kweli, kwani ajali zote tunazisababisha sisi wenyewe.
Tungekuwa makini kila point ajali isingeua hata Mtanzania mmoja.
Kuna nchi wamefanikiwa kudhibiti au kupunguza vifo vitokanavyo na ajali.
 
Write your reply...AWALI ya yote ningependa kuku weka ktk makundi matatu
1/wewe Ni mkristo
2/wewe Ni muislamu usiejua uislamu wako
3/wewe huna dini/Na unawasiwas juu ya uwepo wa mungu Na nini kasema
nikizungumzia nukta ya 2
muislamu anaamini
kaumbwa
atakufa
atafufuliwa
hatokufa tena
KWA NINI ATAKUFA
atakufa kwa kuwa umri aliokadiriwa kuwepo duniani utaisha
ima awe mgonjwa atakufa
awe mzima atakufa
awe tajiri atakufa
awe masikin atakufa
Kama mungu wake anavosema
hazidishiwi mja hata sekunde Moja pale ajali yake inapofika
thinking questions for you
mbona wanakufa watoto wachanga wakiwa hospital
mbele ya madokta
Na akapona mtoto amezaliwa polini akawekwa majanini bila uangalizi wowote Na mamake akamkimbia,
wanakufa vijana wenye afya zao wanaozingatia mlo kamili kula kwa baba
wakapona vichaa wanao Kula jaani akienda haja ajisuzi
Ni maswali mengi hayajbiki
KUHUSU KUFA
MWENYEZI MUNGU NDIYE HUFISHA
muwe wengi uwe pekeako
ajali Moja wengine hufa Na wengine hupona
hakuna ujanja wala ujinga ktk hilo
si kila anae jinyonga anakufa
si kila anae kunywa sumu anakufa
HAFIMTU KWA BAHATI MBAYA
WALA BAHATI NZURI
Naunga mkono hoja.
 
Nnapokutaga maneno kama haya huwa namshukuru sana Mungu kuujua uislamu, maana hayo mambo tayari yalishatatuliwa utata wake katika uislamu.

Maana hayo uyasemayo ni katika nguzo ya sita ya imani ya kiislamu kuamini KHERI na SHARI ni mpango wa mungu.
 
Kweli, kwani ajali zote tunazisababisha sisi wenyewe.
Tungekuwa makini kila point ajali isingeua hata Mtanzania mmoja.
Kuna nchi wamefanikiwa kudhibiti au kupunguza vifo vitokanavyo na ajali.
kwa mfano mimi nikiona Petrol karibu yangu inamiminika moja kwa moja najua sasa hicho ni KIFO, nitakimbia kadri niwezavyo nisikae karibu nayo kabisa....sasa unakuta mtu anaichota madumu kwa madumu.... hapo ukifa utamlaumu nani, Muumba wako? rubbish
 
Wakuu nimegundua kuwa mazingira unayoishi ndio yatakufanya uishi kwa umri Fulani.
That's why nchi zilizoendelea watu huishi umri mwingi kuliko nchi maskini.
Mfanyakazi wa mgodini huishi maisha mafupi kuliko mtu aliyefanya Nazi au anayefanya kazi Benji.
Mtu mwenye Tania ya ulevi na uzinzi yuko kwenye hatari(mazingira) ya kifo cha mapema kuliko yule ambaye si mlevi na mzinzi.
Viongozi wa umma wastaafu huishi maisha marefu kwakuwa huishi mazingira bora ukilinganisha na wazee wauza maparachichi wa Ilala.
Ulivyoandika ni shida, sijui elimu yako
 
Mike Jackson alikuwa maskini? Mbona alikufa kibudu
umaskini si wa pesa tu, hata wa kifikra pia..... jamaa alikuwa na fikra za kimaskini...alitaka kujibadilisha toka uafrika awe kama wazungu...... yakamkuta yaliyomkuta - kansa ya pua ikamwondoa duniani.
 
Mungu anasingiziwa mengi sana.

Kwa sababu hayupo, hawezi kujitetea kwamba yeye si sababu ya hayo yote anayosingiziwa.


Mungu yupo na hana sababu ya kujitetea mbele ya viumbe alivyoviumba, unataka ajitetee kwa lipi ilhali siku zako za kuishi hapa duniani ni kiduchu!!, yeye anakusubiri siku ya Kiyama tu.

Na kama itampasa ajitetee sio katika njia unayotaka wewe ajitetee, yeye anazo njia zake alizojipangia mwenyewe, kwani wewe nani mbele yake,!!?, hiyo jinsia na akili kiduchu unayo jivunia kakupa nani??.
 
Wakuu nimegundua kuwa mazingira unayoishi ndio yatakufanya uishi kwa umri Fulani.
That's why nchi zilizoendelea watu huishi umri mwingi kuliko nchi maskini.
Mfanyakazi wa mgodini huishi maisha mafupi kuliko mtu aliyefanya Nazi au anayefanya kazi Benji.
Mtu mwenye Tania ya ulevi na uzinzi yuko kwenye hatari(mazingira) ya kifo cha mapema kuliko yule ambaye si mlevi na mzinzi.
Viongozi wa umma wastaafu huishi maisha marefu kwakuwa huishi mazingira bora ukilinganisha na wazee wauza maparachichi wa Ilala.


Siku za kuishi duniani kwa mwanadamu zimewekwa na Mungu, lakini mtu anaweza kufa chini ya siku hizo kutokana na sababu ulizozieleza, yaani mfano kama mtu kapangiwa na Mungu kuishi miaka 100, anaweza kuishi chini ya hapo kutokana na sababu mbalimbali za kimazingira mfano Magonjwa nk.lakini hawezi kuishi zaidi ya hiyo miaka 100.
 
Mike Jackson alikuwa maskini? Mbona alikufa kibudu
Ndugu hujanielewa, concept yangu sio kusema maskini hufa haraka au tajiri hawezi kufa Bali nimesema kuwa kifo kinasababishwa na kazi, shughuli na mazingira ya mtu.
 
Swali: Magonjwa na ajali vina nguvu kuliko Mungu?
Yaani magonjwa yanaweza kuvunja mpango wa Mungu?
Siku za kuishi duniani kwa mwanadamu zimewekwa na Mungu, lakini mtu anaweza kufa chini ya siku hizo kutokana na sababu ulizozieleza, yaani mfano kama mtu kapangiwa na Mungu kuishi miaka 100, anaweza kuishi chini ya hapo kutokana na sababu mbalimbali za kimazingira mfano Magonjwa nk.lakini hawezi kuishi zaidi ya hiyo miaka 100.
 
. Nchi fulani zimedhibiti vifo vya watoto wachanga na wajawazito, wakati nchi nyingine hazijadhibiti.


Mimi nilifikiri utasema nchi fulani zimedhibiti vifo "vyote" vya watoto na wajawazito bali vifo "vyote" vya watu wao!!!, kumbe licha ya udhibiti huo wote katika nchi hizo lakini hatimaye vifo vipo tu kama ilivyo katika nchi zenye udhibiti hafifu.

Hata wafanyeje vifo vitakuwepo tu, ndivyo alivyopanga Mungu mwenye nguvu na hekima.
 
Nionavyo hufahamu tafsiri ya kifo kimepangwa na MUNGU.

Iko hivi hebu fikiria uko na abiria mwenzako ndani ya gari mko siti moja. Inatokea ajali mmoja anakufa mwingine anatoka mzima hali ya kuwa mlikuwa ktk mazingira yanayofanana. Je kosa LA marehemu au ujanja wa aliyepona ni UPI?

Hata uko kwenye Biology unakotaka, Charles Darwin alisema kuna natural selection by chance, ambayo si kiumbe au mazingira yataamua kufa kwa kiumbe. Hebu fikiria mtoto ambaye Leo anazaliwa akiwa na maambukizi ya ukimwi, sickle cells traits ambazo zinampa uwezo hafifu wa kupambana na viumbe wengine kwa ajili ya mahitaji ya msingi.

Hata kuzaliwa kwako Africa unakosema tunakufa mapema hiyo ni kazi ya Mungu mimi na wewe hatukupewa nafasi ya kuchagua tuzaliwe wapi na katika hali gani ya maisha. Kwa misingi ya Imani na hofu juu ya
Mungu ndio maana tunasema kifo kimepangwa na Mungu tabia na matendo yapelekea kifo msingi wake ni Mungu aidha kwa kufuata au kikiuka misingi na hata vile yy aonavyo inampendeza juu ya hatma ya maisha yako.
 
Swali: Magonjwa na ajali vina nguvu kuliko Mungu?
Yaani magonjwa yanaweza kuvunja mpango wa Mungu?
Ndiyo, Binadamu kapewa na Mungu akili ya kuchagua (utashi), hii ni tofauti na wanyama, mfano Kuna watu wameamua kuwa Mashoga kwa hiyari na utashi wa akili zao, je Mungu anapenda wawe Mashoga??!!, halikadhalika kama mtu aamue kwa utashi wake anywe sumu na afe hapo Mungu anahusika na lipi??, Yeye anahusika tu na muda aliokuwekea hapa duniani USIZIDI kipimo alichokuwekea.
 
umaskini si wa pesa tu, hata wa kifikra pia..... jamaa alikuwa na fikra za kimaskini...alitaka kujibadilisha toka uafrika awe kama wazungu...... yakamkuta yaliyomkuta - kansa ya pua ikamwondoa duniani.

Aliuawa kwa sumu bwana
 
Back
Top Bottom