Mungu wa dini ipi?tanzania haina dini wala uwepo wa mungu.
Hakuna haja ya kukomoana!Nadhani serikali Tatu itafaa sana.
Ila ya Muungano gharama ni 50% each. Hatuangalii idadi wala nini!
Of course; kwanini tubadili jina? hata Zanzibar kuna Watanzania wengi zaidi kuliko Wazanzibari...