Siku za muungano zinahesabika, Tanzania bara itaitwaje ukivunjika?

ukivunjika ni kupeana masaa 24 kila mtu awe bandarini kwa safari ya kwao.. Na kila mtu hakuna kubeba kitu chochote!
 
wala bado mnahaha saivi. ata wazanzibar tutabaki.huku huku dar. zanzibar itabaki kua kwetu na asili yetu. tutachumia bara tukalie kwetu na aila zetu. hadi raha muungano huu usoeleweka kwa wajanja una raha sana. mimi ni mzanzibar na pia ni mtanganyika. nakula kote kote

Tutaanza kuwatambulisha kwa kuwanyoshea vidole then utajua faida yake, na Katiba ya Tanzania itakayoundwa ita-specify vizuri kabisa mwenye haki ya kumiliki ardhi Tanzania na uraia wa nchi mbili hautaihusisha zanzibar kwani kutakuwa na "hostility relation" katika kipindi hicho. Usiombe hii kitu aisey itakuwa aibu. Mungu ajaalie Zanzibar ipate mamlaka inayotaka kwa amani lakini pakitokea dhihaka; ujue hali haitakuwa njema
 
Mliambiwa mapema muirejeshe tanganyika mkabisha,ona sasa mlivyokuwa watumwa wa fikra hamjijui hata jina la kujiita,basi jiiteni mamburula ndio jina la utaifa linalowafaa.
 
wala bado mnahaha saivi. ata wazanzibar tutabaki.huku huku dar. zanzibar itabaki kua kwetu na asili yetu. tutachumia bara tukalie kwetu na aila zetu. hadi raha muungano huu usoeleweka kwa wajanja una raha sana. mimi ni mzanzibar na pia ni mtanganyika. nakula kote kote

du unakula kote kote kama mliberali vile. Loh!
 
Mliambiwa mapema muirejeshe tanganyika mkabisha,ona sasa mlivyokuwa watumwa wa fikra hamjijui hata jina la kujiita,basi jiiteni mamburula ndio jina la utaifa linalowafaa.

tanzania,tanzania nakupenda kwa moyo wote. Nchi yangu tanzania,jina lako ni tamu sana.
Jina litabaki maana ni tamu mno.
 
mi nikadhani kuna gamba limeropoka kumbe wewe hiyo itakuwa utumwa tunataka tanganyika jina nzuri sana.
 
Tutabaki na hilo jina lakini kuna watu wamezoea choko choko lazima wasema maana watakuwa hawana kingine, tofauti na hivyo watalazimika kukaa kimya kitu ambacho hawawezi, ila mimi nitapendekeza tuitwe KILIMANJARO tutajulikana na kukua kwa haraka
 
Wanzanibar akili zaó haziko sawa.hawa tungewapa ban la mwaka hata mmoja tu wangepata shida na vita wao kwa wao wangerudi na aibu-wangepata fundisho

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
huna akili wewe kila kitu unaleta udini mbwa wewe..GOD IZ NOT A RELIGION BUT A SPIRITUAL BOND....sio kila kitu lazima upinge tu msheenzi sana ww

Mungu wa dini ipi?tanzania haina dini wala uwepo wa mungu.
 
JAJI Warioba lete rasimu ya katiba mpya uwakumbushe misukule ya nyerere jina la nchi yao danganyika,ntwala,mrima tanzania bala washasahau masikini......sisi yetu twaijua
WAlivyo jisahau wakasema zanzibar si nchi from that point we understand that we made a mistake ...we united,we organised ourself, and send a clear messange, marekebisho ya katiba ya zanzibar 2010 ndio jibu kutoka jamii iliyopevuka kisiasa sio ya kutukanana,udini,ukanda watanganyika jifuzeni kutoka zanzibar mpya.
''JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR'' 3.jpg
 
Hili nalo linahitaji mjadala wa kitaifa, maana wengine Tanganyika na wengine Tanzania na watakuja wengine na Tanzania Bara.
 
Hili nalo linahitaji mjadala wa kitaifa, maana wengine Tanganyika na wengine Tanzania na watakuja wengine na Tanzania Bara.
Mjadala wa nini?

Nchi mbili Tanganyika na Zanzibar ziliungana, zikiamua kutengana kila mtu anarudi kwenye jina lake la kabla ya kuungana.

BTW Uhuru ulipiganiwa na kupatikana kwa jina la Tanganyika, jina la tanganyika "linabeba spirit" ya ukombozi, upigania uhuru .nk wakati jina la Tanzani litaondoka na Zanzibar wakati wa kujitenga, hakuna Tanzania bila ya Zanzibar.
 
Back
Top Bottom