Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 81,922
- 158,419
@malcom lumumba usimchezee weweComment ile sikujurupuka kuiandika.. nilikua najua nachoandika..
(ML jnamdingizia mzee wa watu)
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@malcom lumumba usimchezee weweComment ile sikujurupuka kuiandika.. nilikua najua nachoandika..
(ML jnamdingizia mzee wa watu)
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Lakini bibie u can't escape a nature!! Ni mwanaume timamu..see no problem@malcom lumumba usimchezee wewe
Lakini bibie u can't escape a nature!! Ni mwanaume timamu..see no problem
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
Teh...Naona unamchafua baba mchungaji.@malcom lumumba usimchezee wewe
Nilidhani wana jf wote wana digrii kumbe wengine wa digidigi
Mbaya zaidi nikadhani wote wana magari na mabiashara makubwa darisalamu
Siku hizi nasikia asilimia 79.7% ya wana jf wanakunywa beer za Eagle
Andika tu nitakusitiri mamiloohNilicho kidhani nikiandika hapa ni over expectation, hadi aibu.
Subiri utalipwa tu mkuu!!Nilijua kuna mshahara kila mwisho wa mwezi.
Ulikuja kutafta mme humu?!!Waume za watu ni wengi kuliko nilivyofikiri
NdioUlikuja kutafta mme humu?!!
Arafu baadae imekuwaje ukaghairi?!!Ndio
Arafu baadae imekuwaje ukaghairi?!!
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010 nikiwa natumia ID flani maarufu baadae nikaiacha,
Nilipojiunha JF
1. Nilidhani kila anayetumia jina la mwanamke ni demu kweli, na wengine niliwaibukia nkidhani naweza pata mchumba hapa hapa, haha , na mbaya zaid nikaamini kila mmoja ni mrembo
2. Nilidhani kila anayeleta story MMU ni ya kweli kumbe wengine uchangamsha baraza tu
3.Nilidhani kila mtu anayesema mnyetishaji wangu kasema, nikadhani wana access ikulu ama usalama wa taifa kumbe uongo mtupu
4. Nilidhani kila anayesema niko ulaya yupo kweli kumbe wengine ni story but wanasimuliwa wanatuletea,
5. Mbaya zaid nilidhani ........
Je we ulipojiunga JF siku ya kwanza ulikuwa na mawazo gani?
ha haa haa dah !!Nilidhani mleta mada ni zinga la genius