Siku yangu ya kwanza kujiunga JF nilidhani haya

Nachofahamu Mimi watu tulip wakorofi humu na tunaocoment sana in real life tuko very Introvert na Watu wasiochangia sana ndio Extrovert hatari in real life (waongeaji kupitiliza)

Mbaya zaidi, ogopa wale wanaojifanya sana hekima au wanashauri washenzi hao bora sisi mambumbumbu.

Kama kuna ukweli hivi!!
 
Nilivutiwa na mijadala makini ya JF tuu..hasa upande wa Tech na jamii intenl.

Nilijua jf kuna watu wahuni na watu wema kama zilivyo forum zingine..

Niliamini asilimia 70% ya jf members ni watu fulani wenye upeo mkubwa na wenye kuweza kuchambua mambo..lakini ni tofauti na uhalisia..

Ki-ufupi nilikuwa na picha halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilizani Mzizi mkavu ni mganga kumbe mgangaanjaa tu nilizani Miss chaga ni bonge la mama kumbe kawaida nikazani nyani ngabu ana undugu na lemutuzi kumbe sio.

nilizani Britanica ni mfanya biashara kumbe ni walewale wa tuma kwenye number hii. nilizani lara one ni single kumbe ni mama na mtoto nikazani jamii forum members karibia wote wanaishi njee ya Tz kumbe wengi ni wanafunzi tena st. kayumba na Udom.
Haaahaha...pole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom