Barakoa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 720
- 1,298
Tukiwa bado tunaendelea na kupiga nyungu tusisahahau kuendelea kuchukua tahadhari nyingine dhidi ya adui yetu Corona.
Kwa kuwa kila mtu kazaliwa, basi kuna siku moja katika mwaka huwa inajirudia kwa maana ya tarehe na mwezi. Kwa wale wenzetu mliopo kwenye mahusiano, najua inapofika siku kama hii basi huwaga mna shauku kubwa ya kuona ni kwa namna wapenzi wenu wanawajali hasa katika siku muhimu kama hii.
Sasa basi inapofika siku yako ya kuzaliwa Ile saa sita hujapigiwa simu, hujapokea ujumbe wowote kutoka kwake, asubuhi unaamka unakutana na simu au meseji ya kukujulia tu hali, ilhali unapokea salamu kedekede kutoka kwa watu tofauti tofauti.
Huwa unajisikiaje unapokutana na hii hali?
Kwa kuwa kila mtu kazaliwa, basi kuna siku moja katika mwaka huwa inajirudia kwa maana ya tarehe na mwezi. Kwa wale wenzetu mliopo kwenye mahusiano, najua inapofika siku kama hii basi huwaga mna shauku kubwa ya kuona ni kwa namna wapenzi wenu wanawajali hasa katika siku muhimu kama hii.
Sasa basi inapofika siku yako ya kuzaliwa Ile saa sita hujapigiwa simu, hujapokea ujumbe wowote kutoka kwake, asubuhi unaamka unakutana na simu au meseji ya kukujulia tu hali, ilhali unapokea salamu kedekede kutoka kwa watu tofauti tofauti.
Huwa unajisikiaje unapokutana na hii hali?