Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Wanabodi,
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu katika taasisi mbalimbali kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na mfumo dume, hivyo kushikwa na wanaume!.
Swali ni jee, nafasi hizo zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeenelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo.
Sasa hapa naomba tuwataje the Top Ten "Boss Ladies" wa ukweli, ambao ni wanawake kwenye nafasi za Wakurugenzi Wakuu wa Tasisi za Umma ambao teuzi zao zimefanywa na Rais.
Hongera sana kwa wanawake hawa!.
Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu katika taasisi mbalimbali kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na mfumo dume, hivyo kushikwa na wanaume!.
Swali ni jee, nafasi hizo zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeenelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo.
Sasa hapa naomba tuwataje the Top Ten "Boss Ladies" wa ukweli, ambao ni wanawake kwenye nafasi za Wakurugenzi Wakuu wa Tasisi za Umma ambao teuzi zao zimefanywa na Rais.
- Jacline Mnenei Maleko-Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade
- Irene Isaka-Mkurugenzi Mkuu wa SSRA
- Dr Marina Njelekela-Mkurugenzi Mkuu, Muhimbili
- Dr. Mwele Malechela-Mkurugenzi Mkuu wa Nimri
- Dr Akwilina Kayumba - CEO wa OSHA.
- Dr. Agnes Kijazi- Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA)
- Dr. Albina Chuwa-Mkurugenzi Mkuu-Takwimu.
- Eng.Marcelin Magessa- CEO- TEMESA
- Juliet Kairuki-Mkurugenzi Mkuu-TIC
- Magret Chacha, Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake, TWB.
endelea kuwataja wanawake ambao ni wakurugenzi wakuu wa taasisi kubwa kubwa!.
Hongera sana kwa wanawake hawa!.