Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,980
- 14,743
Jamaa | bhana |
Fuata | Maisha | Yako |
Jamaa | bhana |
Fuata | Maisha | Yako |
Baada ya post ya diamond kwani wema nae amecomment?"You always a special place in ma heart, and u know that."
Wema baada ya Domo kupost post ya kuwapongeza wanawake aliowahi toka nao,Tifa, mama ake na dada zake katika siku ya wanawake.
Kwani baada ya hiyo post kwani nae wema amecomment?Haswaaaaaaaah mpwa hawa watu wanapendana sana Ila ni vile tyuh wamekuwa mashangingi na mashankupe ya mapenzi lol mweeeeeeeeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani baada ya hiyo post kwani nae wema amecomment?
Amecomment vipi?Mama asipitwe atapitwa saa ngap
Ingawa ni marafiki ile project ya joketi ya Tokomeza zero kisarawe Diamond ni mmoja ya mtu aliyeisapoti na kurusha live bure Wasafi tv richa ya kuchangia kununua madawati na joketi akamshukuru public kwenye huo mkutano.Wali date muda mfupi saaana, ile pruuu moaka maka wameachana.. hahaa
So hakua na impact yoyote kwa simba..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingawa ni marafiki ile project ya joketi ya Tokomeza zero kisarawe diamond ni mmoja ya mtu aliyeisapoti na kurusha live bure Wasafi tv richa ya kuchangia kununua madawati na joketi akamshukuru public kwenye huo mkutano.
Anatafuta huruma za wananchi huyo"You always a special place in ma heart, and u know that."
Wema baada ya Domo kupost post ya kuwapongeza wanawake aliowahi toka nao,Tifa, mama ake na dada zake katika siku ya wanawake.
Baada ya kusoma hii post nimehisi jinsia yangu inebadilika...uume wangu umenyofoka limebaki shimo
"You always a special place in ma heart, and u know that."
Wema baada ya Domo kupost post ya kuwapongeza wanawake aliowahi toka nao,Tifa, mama ake na dada zake katika siku ya wanawake.