KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 841
- 175
Leo ni siku ya Walimu duniani;ninaomba niseme kama ifuatavyo:katika kila wanafunzi 10 wa darasa la tatu(3) hawawezi yafuatayo:-
07 katika yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiswahili ya darasa la pili(2);
07 kati yao hawawezi kufanya Hisabati za kitabu cha darasa la pili(2);
09 kati yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili(2).
Utafiti huu umefanya katika wilaya 132 nchini Tanzania;na kuhusisha watoto wenye umri wa miaka 07 hadi 16.
Na wakati huohuo serikali kwa mara nyingine tena imerudisha mtihani wa Taifa wa kidato cha pili.
07 katika yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiswahili ya darasa la pili(2);
07 kati yao hawawezi kufanya Hisabati za kitabu cha darasa la pili(2);
09 kati yao hawawezi kusoma hadithi ya Kiingereza ya darasa la pili(2).
Utafiti huu umefanya katika wilaya 132 nchini Tanzania;na kuhusisha watoto wenye umri wa miaka 07 hadi 16.
Na wakati huohuo serikali kwa mara nyingine tena imerudisha mtihani wa Taifa wa kidato cha pili.