Mamia ya waalimu waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani wakiingia kwa maandamano katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea ambapo Rais Dr.Jakaya Mrisho kikwete alikuwa mgeni rasmi na kuwahutubia.
Sintaonaajabu kama hao waalimu walivalishwa hizo fulana za njano kwani mambo mengi ya chama cha waalimu yanahujumiwa na serikali kwavile katibu mkuu wa chama hicho ni kada mkongwe wa ccm; kwahiyo yote yale yanayojili kwenye vikao vya chama cha walimu serikali inataarifiwa kila kitu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.