Elections 2010 Siku ya waalimu, Waalimu wote vaeni T-shirt za njano

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
wali1.jpg


Mamia ya waalimu waliohudhuria maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani wakiingia kwa maandamano katika uwanja wa michezo wa Majimaji mjini Songea ambapo Rais Dr.Jakaya Mrisho kikwete alikuwa mgeni rasmi na kuwahutubia.

Source: MICHUZI
 
Sintaonaajabu kama hao waalimu walivalishwa hizo fulana za njano kwani mambo mengi ya chama cha waalimu yanahujumiwa na serikali kwavile katibu mkuu wa chama hicho ni kada mkongwe wa ccm; kwahiyo yote yale yanayojili kwenye vikao vya chama cha walimu serikali inataarifiwa kila kitu!!
 
Back
Top Bottom