mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 759
Wana JF
Leo ni siku ya ukimwi duniani
Tutumie siku hii kuelimishana juu ya ukimwi na madhara yake na kusaidia ambao wanao waishi vipi
Mungu awalaze peponi waliofariki na ukimwi na Mungu awaponye walio na ukimwi na pia wanasayansi awape njia ya kupata tiba ya haraka haraka.
Leo ni siku ya ukimwi duniani
Tutumie siku hii kuelimishana juu ya ukimwi na madhara yake na kusaidia ambao wanao waishi vipi
Mungu awalaze peponi waliofariki na ukimwi na Mungu awaponye walio na ukimwi na pia wanasayansi awape njia ya kupata tiba ya haraka haraka.