Siku ya tarehe 23/07/2016 inaweza kuwa ni fursa nyingine ya UKAWA kuendelea kukusanya ushahidi

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,985
144,312
Niliwahi sema UKAWA ni great thinkers wa siasa za nchi hii na kila wanalolifanya hawalifanyi mradi tu bali wanakuwa teyari wameona fursa ya jambo hilo kisiasa.

Kama mtakumbuka,gazeti la Mtanzania la siku chache zilizopita, lilimnukuu mwenyekiti mwenza wa UKAWA akisema hivi sasa wanakusanya ushahidi wa kupeleka watu The Hague.Hivyo basi,busara isipotumika siku hiyo ya tarehe 23 mwezi huu,UKAWA watakuwa wamepata fursa nyingine ya kukusanya ushahidi na pia kudhihirisha kuwa kuna doublestandard katika ku-deal na vyama vya siasa(hapa watapata political advantage).

Kwa kifupi,tarehe 23/07/2016,UKAWA watau ndege wawili kwa jiwe moja iwapo busara itakosekana.

Hata hivyo, naamini fursa ya kumaliza mvutano huu bado ipo na ninawashauri viongozi wa dini na watu wengine wenye kukubalika na pande zote mbili kutumia busara zao kuepusha kinachoweza kutokea.
 
Niliwahi sema UKAWA ni great thinkers wa siasa za nchi hii na kila wanalolifanya hawalifanyi mradi tu bali wanakuwa teyari wameona fursa ya jambo hilo kisiasa.

Kama mtakumbuka,gazeti la Mtanzania la siku chache zilizopita, lilimnukuu mwenyekiti mwenza wa UKAWA akisema hivi sasa wanakusanya ushahidi wa kupeleka watu The Hague.Hivyo basi,busara isipotumika siku hiyo ya tarehe 23 mwezi huu,UKAWA watakuwa wamepata fursa nyingine ya kukusanya ushahidi na pia kudhihirisha kuwa kuna doublestandard katika ku-deal na vyama vya siasa(hapa watapata political advantage).

Kwa kifupi,tarehe 23/07/2016,UKAWA watau ndege wawili kwa jiwe moja iwapo busara itakosekana.

Huu mchezo hauhitaji hasiraa!!!, naona polisiccm ama watengue kauli yao na waruhusu mikutano au wazuie ili ile kauli ya tii sheria bila shuruti itatimia au wawape chadema ushahidi wa kwenda kushitaki kwenye mahakama ya haki za binadamu
 
Huu mchezo hauhitaji hasiraa!!!, naona polisiccm ama watengue kauli yao na waruhusu mikutano au wazuie ili ile kauli ya tii sheria bila shuruti itatimia au wawape chadema ushahidi wa kwenda kushitaki kwenye mahakama ya haki za binadamu
Ni wazi hawa ndio wataobeba lawama kwa lolote litakalotokea.
 
Hapo Policcm hawana namna nyingine, aidha waamue kusuka au kunyoa........

Aidha waruhusu mkutano Mkuu wa CCM utakaofanyika baadaye mwezi huu kwa kutoa tamko la kufuta ile kauli yao waliyotoa tarehe 7/06 /2016 ya kuzuia shughuli zozote za kisiasa kufanyika nchini kwa kipindi kisichojulikana au waamue 'kuuchuna' kwa kumtii Mkuu kwa kuhofia kutumbuliwa, jambo litakalosababisba mgogoro mkubwa kabisa wa kikatiba kutokea nchini, tokea mfumo wa vyama vingi nchini urejeshwe mwaka 1992.
 
Hapo Policcm hawana namna nyingine, aidha waamue kusuka au kunyoa........

Aidha waruhusu mkutano Mkuu wa CCM utakaofanyika baadaye mwezi huu kwa kutoa tamko la kufuta ile kauli yao waliyotoa tarehe 7/06 /2016 ya kuzuia shughuli zozote za kisiasa kufanyika nchini kwa kipindi kisichojulikana au waamue 'kuuchuna' kwa kumtii Mkuu kwa kuhofia kutumbuliwa, jambo litakalosababisba mgogoro mkubwa kabisa wa kikatiba kutokea nchini, tokea mfumo wa vyama vingi nchini urejeshwe mwaka 1992.


kwa hiyo mnataka kupeleka vijana maskini wakitanzania wafanye fujo ili mapate ushahidi Wa kupeleka ICC?? this is stupid
 
Hapo Policcm hawana namna nyingine, aidha waamue kusuka au kunyoa........

Aidha waruhusu mkutano Mkuu wa CCM kwa kutoa tamko la kufuta ile kauli yao waliyotoa tarehe 7/06 /2016, au waamue 'kuuchuna' kwa kuhofia kutumbuliwa na Magu, jambo litakalosababisba mgogoro mkubwa kabisa kutokea nchini, tokea mfumo wa vyama vingi nchini urejeshwe mwaka 1992.
Siyo pamoja na ninavyoichukia ccm lakini bado sielewi hizi sifa mnazowapa cdm kama great thinkers zinatokea wapi. Ccm ndiyo wenye serikali watafanya watakavyopenda na viboko vitatembea na hakuna lolote litakalotokea. Lakini siyo vibaya kujipa moyo haha fisi hua anajipa moyo kuwa kuna siku mkono utadondoka apate mnofu. Mseveni kawwpiga virungu kina bisigye na bado yupo sijui hiyo ICC ipo wapi.
 
siasa za maonesho zitawatesa sana Chadema awamu hii, CDM fanyeni siasa zenye tija, kama ni maonesho ya siasa tafuteni banda pale saba saba, msisubiri hadi mkutano wa jangwani, huo si uwanja wa maonesho mtazuiliwa tu, hamna namna
 
Back
Top Bottom