Misako
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 1,144
- 1,398
Mmhh, hi ni Hatari kwakweli..huo muda waliosubiri ajira ni kazi bure ...Tena warudi kusoma wake waanze kusubiri upya duh..Poleni sana waalimu wenye cheti, mmesubiri ajira miaka mingi, bado Tena mnatakikana kurudi tena shule miaka kadhaa, bado Tena mkimaliza msubiri ajira Tena na pengine hakuna hizo ajira.
Sent using Jamii Forums mobile app