johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,767
- 141,630
Mgeni rasmi atakuwa mh Anthony Mavunde ambaye ni Naibu Waziri wa kazi ambapo maDJ wataomba shughuli zao zitambuliwe rasmi na serikali na kuheshimiwa. Pia wataomba kuanzia sasa Djs wawe wanapewa leseni kwani uDj ni kazi ambayo serikali inaweza kuipoint kama chanzo muhimu cha ajira, hayo yamesemwa na Katibu wa chama cha DJs Tanzania.Source Baragumu Channel ten Tv!