Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,440
- 12,294
Hajaongea kizungu?Mi nilikuwa nasikiliza EFM na mtangazaji wao mpya Shilole anafunika mbaya hasa kwenye usomaji wa magazeti
Hajaongea kizungu?
Hiyo picha ni ya miaka ya 90View attachment 1241136Nini tathimini yako kwa wale walioskiliza kipindi kuna chemistry au ndio full mauza uza tu?
sometime she is a comedianAlipewa gazeti la The Citizen la Kenya asome vichwa vya habari, kwanza hata hajui gazeti lenyewe ni la wapi iliyofuata nimichapio kwenda mbele. Lakini nachompendea yule dada ana confidence sijui anaitoa wapi! Ni kauzu hasa
Anavutaga bhangeAlipewa gazeti la The Citizen la Kenya asome vichwa vya habari, kwanza hata hajui gazeti lenyewe ni la wapi iliyofuata nimichapio kwenda mbele. Lakini nachompendea yule dada ana confidence sijui anaitoa wapi! Ni kauzu hasa
Anavutaga bhange
Muda wa kusikiliza nautoa wapi mie natafuta pesa! Mtoa mada kuwa serious kidogo...Tutakupiga sie
Anavutaga bhange
Leo shilole alikuwa anafanya uchambuzi wa gazeti la THE GUARDIAN EFMView attachment 1241146
wapo vizur mm sijaona kasoro wala jipya loloteKitenge mwenyewe kwenye magazeti amepoa kweli,kule e fm ilikuwa amsha amsha sana na kina Musa Kipanya huku Hando akimchochea in short Wasafi kumepoa kwenye magazeti
Hiyo Shilole kuchapia kizungu wabongo ndio wanapenda.Usishangae kipindi kikapata hadhira ya kufa mtu!Hajaongea kizungu?
huu mwili wake nao ni gazeti naonaLeo shilole alikuwa anafanya uchambuzi wa gazeti la THE GUARDIAN EFMView attachment 1241146