Dah! Siku ya kwanza napiga mashine, siwezi sahau

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Kutokana na malezi na makuzi ya home kwetu kiukweli mimi nlikuwa siijui papuchi. Huwezi amini mpaka miaka 18 nlikuwa sijawahi hata iona.

Wasichana walikuwa wananivutia ila sijui wangenipa kitumbua ningefanya nacho nini.

Basi siku hiyo ilitokea kwenye ghetto la msela wangu mmoja yeye alikuwa anaishi na bro wake.bro wake alikuwa mtu wa kusafiri daily.so jamaa nikamwambia kuna manzi anataka faragha nami.

Unajua urafiki wa miaka ile.akanambia hamna noma kuanzia saa saba yeye atatoka kunipisha so nimpange manzi aje mida hiyo.miaka hiyo hamna mobile phones.

Nikamwelekeza binti akaielewa hiyo sehemu.haikuwa mbali sana na home.mwendo kama wa dk 20 hivi mdogo mdogo ukicheza reggae. Basi nikaaa nasubiri huku roho inadunda kinyama.maana yule bint nlikuwa nshamla sana mate vichochoroni na kwenye majumba yasiyoisha.

So akawa ananiamiani kinyama....maana kwa kumuandaa nlikuwa namwandaa sometime mpaka anadai niingize mashine.akiwa ameloana ile mbaya.nikawa nagwaya nikimwambia si eneo rafiki.

Siku hiyo kaomba mwenyewe faragha akanambia kabisa "iwe sehemu tulivu mtu bee tu ili tuongee kwa kina" saa nane tisa kasoro akatia team.mi moyo unaenda kasi sana.

Tukapiga piga stories tukaanza romance.nikamla sana mate...kinyama...yaani masikioni,shingoni ,nikinyonya chuchu zake kitaalam sana.akawa amepagawa akaanza vua nguo.

Daaah. Hapo tena mapigo yangu ya moyo yakaongezeka kasi...nlihisi angeweza kusikia kishindo cha mapigo yangu ya moyo...sekunde tu bint kapandisha sketi juu kachanua miguu yupo kwenye sofa hapo...mimi nmepiga magoti mbele yake.

Ananambia "babe ingiza tayari inatosha ingiza" mi sielewi sasa naingiza wapi....maana nikicheck naona pana mpasuko nikiweka mashine naona kama nachezea kwenye ule mpasuko katikati ya mashavu.

Nikawa nahangaika huku nahema jasho linanitoka kinyama...yeye anapiga kelele maana nasugua sugua tu kwa nje.akaona ujinga akakamata bomba akaingiza mwenyewe.

Looh...salaleeeehhhhh....nlijisikia kama nimepigwa shot ya umeme.yeye akawa anapiga kelele nami huku nmetoa macho kama nmeona mzimu...

Nikaganda hivi kama sekunde...yeye akaanza kujisugulisha....haikuchukua dakika3 wazungu haooo.... Sasa kilichonisaidia ni kuwa sikuwa najua ukimaliza unafuta game unaanza upya.

Nikaendelea kusugua mbele na kurudi nyuma.akapiga naye ukelele mkubwa na macho kayageuza.mamaaa....nikasema nimeua mtoto wa watu maana alinikamata kwa nguvu akanibana.halafu akaaniachia amesambaza miguu na mikono huku na kule.kimyaaaa....

Nikaiita fulani, fulani....kimya nikaanza vaa suruali nilale mbele. Ndo akashtuka... Nikamuuliza vipi mwenzangu...daaah...kumcheck hivi papuchi yake inadondosha matone mazito...sasa sielewi yale nayo nini.

Nikamwuliza kuna shida...akajibu no fresh tu.nimpe toilet paper.akafuta....daaah... nikapiga game tatu siku hiyo.

Nlirudi home nakenua tu meno...njia nzima ninafuraha kinyama.home nakumbuka ilikuwA chochote wanachonisemesha nacheka tu....siku hiyo kipofu aliona mwezi. Siisahau.ndo nikajua utamu wa K. Nika ji attach kwenye K.ndo kuanza safari ya kitafuta G Spot. Nmeitafuta sana hiyo kitu.mpaka nlipokuja igundua..... Utamu maradufu.

Sijasahau kuanza kula K nikiwa na miaka 18 na ndo siku ya kwanza nakutana na K. Sijui hata inaingiliwa vipi.ikanichukua tena miaka kadhaa kuja kugundua kuwa mkojo wa mwanamke hautokei kwenye kiharage/clitoris.

Hii dunia tunayoyajua ni asilimia 1 tu bado 99% hatuyajui. Mpaka leo kuja zifahamu styles za pangaboi,chungulia,mkwezi n.k nmesota sana wadau.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom