Janjawidi
Senior Member
- Mar 13, 2014
- 133
- 33
Kwa kweli mimi binafsi hiyo siku sikumbuki chochote ila najua hiyo siku ilikuwepo.
Demu wangu wa kwanza simkumbuki ila nakumbuka zamaaaniii enzi za utoto za kucheza baba na mama.
Mvua hizi ndo zinafanya watu tuwaze mengi...tukumbukie hapo unakumbuka nini wewe?