Siku ya kwanza kufanya mapenzi na mwanamke nilimkuta ana harufu mbaya sana ukeni, nikahisi wote wapo hivyo kumbe sivyo!

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Nililala na mwanamke kwa mara ya kwanza nikiwa na akili timamu huku nina miaka 20. Alikuwa mke wa mtu, alinitongoza yeye mwenyewe nami nikaona ni zali la mentali(mchizi).
Maana nilikuwa kiongozi wa punyeto kijijini kwetu, cheo nilichojipa mimi mwenyewe.
Ile **** inanuka balaa, sema nilivumilia kwakuwa nilikuwa mgeni kwenye mapenzi, nilijua ndio zilivyo zote duniani. Nikapiga bao mbili.
Nilipoonja nyingine miaka iliyofuta nikagundua kuwa lile lilikuwa ni janga.
 
Njaa mbayaa sana kwa Hiyo Mwamba Etu Ulijikaza Hivyo hivyo na harufu mbaya hadi kutafuta cha pili
 
Aiseeee pole sana,
Wengine kwa mashamsham wanaposimulia raha waliyokutana nayo first time inakukumbusha harufu chafu, indeed a very bad beggining.
 
Aiseeee pole sana,
Wengine kwa mashamsham wanaposimulia raha waliyokutana nayo first time inakukumbusha harufu chafu, indeed a very bad beggining.
Asante sana
Daaaahhh, yule demu ilinipa kimavu bila shaka ndio maana mpaka mda huu 32 yrs namiliki vitu vichache tu
 
Hizi hadithi mimi nazisikia tu JF tu. Sijawahi kusikia wala kumpata wa hiyo harufu.

Au yawezekana nimeshakutana nazo nikaziona za kunipa mzuka zaidi!
Dah! Haya mambo bhaana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom