julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,606
- 3,399
aisee wewe ni mzaram. so most of tanzanians wamepanga matofali wametoa chumba na choo sebule.Kujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humu