Hongera sana ndugu yangu. Ni kweli... kipya kinyemi. Unaweza kunenepa ghafla just kwa kuangalia nyumba yako tu. Na kama ulivyosema siku ya kwanza ukiamka asubuhi unakuwa umejawa na furaha kubwa sana. Enjoy your new home man!Habari ndugu .
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Kama gharama za usafr Ni sawa na gharama za kupanga Ni Bora tuendelee kupanga
Tafuta chumba hata cha elfu 30 toka hapo kwa nduguHakuna kitu kinaumiza kama kuishi kwa ndugu, naamini ipo siku nami nitakuwa na kwangu.
Nikiwa mkubwa nataka niwe na rohoo nzuri kama Paula PaulHongera sana OP.
Sikujui lakini nimefurahia sana mafanikio yako.
Na taulo kiunoni moja ya ishara ya Baba mwenye nyumba.Kama nakuona ulivyoamka ukachungulia kupitia dirisha, then mswaki wako taratibu ahha ahah
Hahahaha!!!Hongera sana ndugu yangu. Ni kweli... kipya kinyemi. Unaweza kunenepa ghafla just kwa kuangalia nyumba yako tu. Na kama ulivyosema siku ya kwanza ukiamka asubuhi unakuwa umejawa na furaha kubwa sana. Enjoy your new home man!
Kujenga wanajenga Strabag na Estim...wewe umepanga matofali umepata hivyo vyumba vyako vi3 unakuja kutishia watu humuHabari ndugu .
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Unataka kutuambia malipo yako pale Lumumba buku Saba yamefanikisha kutoa kamjengo?Habari ndugu .
Baada ya kukuru kakara za kupanga nyumba mbalimbali hapa jijini Dar es Salaam kwa miaka 5 hatimae nikafanikiwa kujenga nyumba yangu.
Nilikuwa nasikia tu watu wakisema mjini kuna baba mwenye nyumba, sasa nimejionea mwenyewe jamani nawaambieni furaha na amani yake usipime.
Siku ya kwanza kuhamia kwenye mjengo wangu kila mtu aliamka ana furaha na amani kuanzia mimi, watoto, mke na jamaa zangu.
Ndugu zangu ya Mungu mengi, ashukuriwe aliye juu.
Uzuri nyumba yako na yenyewe inaweza kupangishwa... Jenga hata kama ni Nanjilinji.. JengaKama gharama za usafr Ni sawa na gharama za kupanga Ni Bora tuendelee kupanga
Hongera kwa kuwa baba mwenye nyumba. Anza ushirikiano mwema na majirani na uongozi wa mtaa maana hao ni kama ndugu zako sasa.