Siku Ya Kutokomeza Ufisadi Tanzania

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Mapendekezo, Kwa nini Siku ya Sita ya Mwezi wa Sita kila mwaka isiwe siku ya Kutokomeza Ufisadi na Kupambana na Umaskini & Maisha Magumu kwa Watanzania? Nasema hivyo kwa sababu ni mwezi wa bajeti kila mwaka ambapo maskini wataonya joto ya jiwe kwa kupandishiwa kodi ambazo zitapelekea kupanda kwa baadi ya huduma na mahitaji muhimu ya msingi (basic Needs) na pia baadhi ya watu yaani mafisadi hujitengea chao kwa mwaka unaofuatia. Siku hii iitwe sita sita yaani tarehe 6 June ya kila Mwaka.
 
thread-fail-stamp.gif
 
Back
Top Bottom