Maneno ya mkosaji........ Iwe ganzi au bila ganzi ili mradi lengo limetimia........ Sema ka -ganzi kalitisha.
Aisee brother, siku yangu itaisha poa kabisa. Hii inaweza kuwa comment bora kabisa kuelekea valentine day.Nakumbuka Mzee alituvalisha nguo MPYA akasema twendeni safari nilikua na bro daah nikakuta tunashuka hospital Mara pap "washike wasikimbie" Mara paa "leteni mikasi " Mara paap "wavalishe kanga
Tukarudi home walemavu Wa mwendo
Weee mambo ya jandoni hayatolewi public , labda wale wa sunna ya hospitali!
mkuu bado una govi nini unataka upate experience??Je unakumbuka siku uliyofanyiwa tohara