Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,804
- 12,552
Najaribu tu ku-imagine ile siku tuko zetu mbinguni kwa Baba tumekaa tumesubiri tu kuandaliwa maziwa na asali na malaika wa Mungu afu ghafla anaingia shetani na nyaunyo mkononi na kusema" Kama uliwahi kushiriki ngono kabla ya ndoa tushuke chini haraka"