Watanzania wenzangu yaan kila nikijaribu kuifikiria siku ya kesho siion jumatatu,
Siku ya kesho ni kama mwisho wa dunia
Siku ya kesho imebeba miaka mitano
Siku ya kesho ni siku yangu mi na wewe ya kuamua muktakabadhi wa Tz yangu na wewe
Watanzania tusifanye makosa, tukapige kura
Mungu ibariki Tanzania
Siku ya kesho ni kama mwisho wa dunia
Siku ya kesho imebeba miaka mitano
Siku ya kesho ni siku yangu mi na wewe ya kuamua muktakabadhi wa Tz yangu na wewe
Watanzania tusifanye makosa, tukapige kura
Mungu ibariki Tanzania