Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,909
- 2,477
Siku Ya Jumamosi Mayahudi Walifanya Nini Hata Wakageuzwa Manyani?
SWALI:
Ass-salamu allaiqum warahmatulwah wabarakatu, ndugu yangu ninataka msada wako au wenu juu ya maelezo yangu haya. Nimesoma ktk tafsiri ya Quraan juzuu ya 1 Surat al-baqarah ayaa ya 65, M/Mungu alisema kuwaambia Mayahudi watu wa Nabii Mussa (A S), Walishindwa kuihishimu siku wa Jumaamosi basi Allah (S W) akawambia kuweni manyani wadhalilifu. ndugu yangu muislam nnataka unisaidie hapa ktk hii siku ya J'mosi binaadamu hawa walifanya nini?
SWALI:
Ass-salamu allaiqum warahmatulwah wabarakatu, ndugu yangu ninataka msada wako au wenu juu ya maelezo yangu haya. Nimesoma ktk tafsiri ya Quraan juzuu ya 1 Surat al-baqarah ayaa ya 65, M/Mungu alisema kuwaambia Mayahudi watu wa Nabii Mussa (A S), Walishindwa kuihishimu siku wa Jumaamosi basi Allah (S W) akawambia kuweni manyani wadhalilifu. ndugu yangu muislam nnataka unisaidie hapa ktk hii siku ya J'mosi binaadamu hawa walifanya nini?